Naomba msaada wenu wajameni, mke wangu amepata bahati mbaya mimba imetoka kwa hiyo baada ya kusafishwa hospital.
Baada ya muda gani ataweza kuanza kutafuta ujauzito?
Kwa nini usimuulize daktari aliyemsafisha? Hapa utapewa majibu 10000 utaweza?Naomba msaada wenu wajameni, mke wangu amepata bahati mbaya mimba imetoka kwa hiyo baada ya kusafishwa hospital.
Baada ya muda gani ataweza kuanza kutafuta ujauzito?
Akishapona tu mkaanza kufanya na wataalamu wanasema ukifanya naye mapema iwezekanavyo ni rahisi zaidi kushika mimba maana kizazi kinakuwa wazi.Naomba msaada wenu wajameni, mke wangu amepata bahati mbaya mimba imetoka kwa hiyo baada ya kusafishwa hospital.
Baada ya muda gani ataweza kuanza kutafuta ujauzito?
mhhmuda wote huo?Pole sana.Ningeona cheti chake baada ya kusafishwa, ila kwa uzoefu ni vzr mama akapumzika walau 2-4 years, ukihitaji azae mapema nitafute PM.
Pole kwenu