Malaika Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 901
- 907
Etiiii.....Hiyo ni nguo tu.....vingine mbwembwe tu na Propaganda maji taka, nimeona wengine leo wanasema kwenye mdahalo hakuwa yeye shenz typ......ila uzuri wanapiga propaganda uchwara huku ansongoza zaid ya 65% kwenye mdahalo wa leo, ni picha nzuri kwenye siasa za marekani, tusubiri midahalo mingine iyajo
Hahahaha jf raha sana hata anakula ugali na chumvi anaweza mtukana Trump vizuriiii nway its okayTrump ni hopeless. Anajikanyaga tu kwenye mdahalo na kui-interupt Maelezo ya Hilary.
America can't and never trust women for president let wait and see...
Kwa Experience ipi Mkuu!? Kuna mwanamke amewahi kufikia hatua ya Secretary Clinton?! Obama pia haya maneno yalisemwa!America can't and never trust women for president let wait and see...
huyu mama kuna uwezekano alikua kavaa earphones akawa anapokea maelekezo.
I thought you really are mchambuzi, but can you be that low??!! Uliangalia ile debate?
acha jazba,
nimesema "kuna uwezekano"
mkuu mimi sio mtafiti,But again, how can you be that low mkuu?? Yaani kama ungekuwa unafanya utafiti ndio ungeanzia hapo?