Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Well:
Baada ya uchaguzi Baba_Enock ameamua kuja kwenye jiji la MBEYA kupumzika japo kidogo kabla hajaenda "Likizo ya mwisho wa Mwaka" kijijini kwao
Katika pitapita ameona mambo mengi yanachangamsha ubongo: Nitaandika baadh hapa:-
- Kuna ongezeko kubwa sana la Mahoteli na Night Clubs na Pubs! Enzi za Mbeya Peak and Mount Livingstone zimepita
- Soko la jipya la Mwanjelwa linajengwa kitaalamu sana though "pole pole"
- Pale Kabwe kuna jengo kubwa limejengwa na kwenye "lango kuu" kuna kibao kimetundikwa na kuandikwa "Payment Toilet"
- Kituo cha daladala Kadege ni cha daladala zinazokwenda "either direction" Yanapandisha kuelekea Mafiati na yanayotelemka kuelekea Iyunga/Standi yanaegeshwa upande mmoja
- Kila daladala ina "dust bin", pamoja na kwamba hiyo dust bin na yenyewe n kama dust
- Mnyama aka Nguruwe wanafugwa kama Kuku: Unakutana nao mitaani wakijitafutia mlo
- Geti la kutokea Standi Kuu ni la Kamba
- Kuna joto kama Dar es Salaam au zaidi kidogo
- Wanawake wenyej wa hapa huvaa kandambili na soksi
- Kule Mbozi kwenye kimwondo unaweza kushangaa: hamna kibao knachoelekeza kilipo kimwodo (Meteolite) na ukifika kilipo ni mazingira ambayo huwezi kufurahishwa na hata yule "mlinzi" wa pale ni kama amelazimishwa na Wizara kukaa pale
Baada ya uchaguzi Baba_Enock ameamua kuja kwenye jiji la MBEYA kupumzika japo kidogo kabla hajaenda "Likizo ya mwisho wa Mwaka" kijijini kwao
Katika pitapita ameona mambo mengi yanachangamsha ubongo: Nitaandika baadh hapa:-
- Kuna ongezeko kubwa sana la Mahoteli na Night Clubs na Pubs! Enzi za Mbeya Peak and Mount Livingstone zimepita
- Soko la jipya la Mwanjelwa linajengwa kitaalamu sana though "pole pole"
- Pale Kabwe kuna jengo kubwa limejengwa na kwenye "lango kuu" kuna kibao kimetundikwa na kuandikwa "Payment Toilet"
- Kituo cha daladala Kadege ni cha daladala zinazokwenda "either direction" Yanapandisha kuelekea Mafiati na yanayotelemka kuelekea Iyunga/Standi yanaegeshwa upande mmoja
- Kila daladala ina "dust bin", pamoja na kwamba hiyo dust bin na yenyewe n kama dust
- Mnyama aka Nguruwe wanafugwa kama Kuku: Unakutana nao mitaani wakijitafutia mlo
- Geti la kutokea Standi Kuu ni la Kamba
- Kuna joto kama Dar es Salaam au zaidi kidogo
- Wanawake wenyej wa hapa huvaa kandambili na soksi
- Kule Mbozi kwenye kimwondo unaweza kushangaa: hamna kibao knachoelekeza kilipo kimwodo (Meteolite) na ukifika kilipo ni mazingira ambayo huwezi kufurahishwa na hata yule "mlinzi" wa pale ni kama amelazimishwa na Wizara kukaa pale