Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Tatizo la Rushwa: Serikali ya Awamu ya 4 ndo iliona tatizo hilo ndo maana akiwa Mwenyekiti wa CCM akataka jambo hilo liingizwe kwenye Ilani ya CCM na kumkabidhi Magufuli, kwa hiyo kazi ya kupambana na Rushwa aliianza yeye
Elimu bure: Mwishoni Mwa Utawala Wake kulikuwa na Mjadala Mkali Serikalini kuhusu kutoa Elimu bure kwa wanafunzi wote hadi Chuo Kikuu, Mwishoni wakakubaliana Waanze na Elimu bure kwa Elimu ya Msingi kwanza....na baada ya kumpata Mgombea walimwelekeza hivo, kwa hiyo Elimu bure haikuibuka tu
Miundo mbinu hivo hivo, Awamu yake ilibuni wakamkabidhi Magu
UchumI wa Kati hivo hivo...mipango iliwekwa tangu Awamu ya Mkapa
Mambo mengi anayazungumza kwa juu juu tu, namwona anapata tabu kumuuza Magufuli
Elimu bure: Mwishoni Mwa Utawala Wake kulikuwa na Mjadala Mkali Serikalini kuhusu kutoa Elimu bure kwa wanafunzi wote hadi Chuo Kikuu, Mwishoni wakakubaliana Waanze na Elimu bure kwa Elimu ya Msingi kwanza....na baada ya kumpata Mgombea walimwelekeza hivo, kwa hiyo Elimu bure haikuibuka tu
Miundo mbinu hivo hivo, Awamu yake ilibuni wakamkabidhi Magu
UchumI wa Kati hivo hivo...mipango iliwekwa tangu Awamu ya Mkapa
Mambo mengi anayazungumza kwa juu juu tu, namwona anapata tabu kumuuza Magufuli