Dar yenyewe Buguruni
Hahahaa! True.
Walikuwa wasumbufu sana hawa jamaa
😂😂😂😂Sokomoko ndio alikua yule jamaa mleviii ama?
Kuna siku mkewe kamfuata kilabuni, anamwambia kuna wizi umetokea nyumbani.
Akauliza, inamaana wamechukua na ile chupa ya wanzuki karibia na tendegu, akaambiwa hiyo ipo, akasema aah! Kumbe wizi wenyewe sio mkubwa sana.
Akarudi kuendelea kupiga kinywaji
Sokomomo alikuwa mwehu sana, tungi tu muda wote.Sokomoko ndio alikua yule jamaa mleviii ama?
Kuna siku mkewe kamfuata kilabuni, anamwambia kuna wizi umetokea nyumbani.
Akauliza, inamaana wamechukua na ile chupa ya wanzuki karibia na tendegu, akaambiwa hiyo ipo, akasema aah! Kumbe wizi wenyewe sio mkubwa sana.
Akarudi kuendelea kupiga kinywaji
Sokomomo alikuwa mwehu sana, tungi tu muda wote.
hahahha kweli