MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,354
Rais mstaafu Jakaya Kikwete alipokuwa kijiji cha Msoga kupiga kura 25 October 2015
Raid John Magufuli akipiga kura Wilaya ya Chato 25 October 2015
Rais Dr Shein akipiga naye kura Zanzibar Uchaguzi mkuu 25 October 2015
Mh Lowassa akipiga kura Wilaya ya Monduli Uchaguzi mkuu 25 October 2015
Makamu wa kwanza wa Rais Mh Maalim Seif akipiga kura ktk kituo chake cha kupigia kura huko Zanzibar pia.