Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,452
- 2,220
Haya uliyoyaandika unaweza kwenda kuyatolea ushahidi mahakaman? au ndio mmerithi tabia za wazazi wenu za mambo ya kusikiaHeeeeh! Sasa wanataka waendeleze wapi hiyo kesi? Au ndio amemsamehe?
Halafu kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha?? Yani moja tu,
Vipi jaribio la kuua (si kamtoa macho)
Vipi udhalilishaji (Alimvua nguo)
Na mengine mengi.
Sijaelewa bado.