Mnongane
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 255
- 351
Kama nyie mnavyofuata katiba kwa kumuweka nwenyekiti wa milele a.k.a GaidiHapo ni kukumbushana kufuata katiba. Mkishazoea kutokufuata katiba katika mambo yenu, mtajikuta mnajenga mazoea ambayo siku fulani isiyojulikana,itawagharimu pakubwa.