Una akili za majani wewe.Mchumba wako yupo?mwambie nimemmiss..
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Kamanda kwa akili yako unadhani mimi nipo hapa kumtetea Zitto? Ashinde asishinde mimi sawa tu, mimi hapa nipo kwa ajili ya kuchochea kuni kavu kwenye mafiga moto uzidi kuwaka.
Umma umetulia Mahakamani kuwasubiri majaji
Mwenye CV ya jaji Utamwa
Kwani Zitto anashindana na nani?
Vipi mbona.kimya uptades hazinyi vipi huko mahakamani ? Kibao kimegeuka
Imeshafika saa saba vp jaji bado hajatoa hukumu?
Umevurugwa wewe.tumbo joto. Chezea zitto.
Ngoja tumalize hii alafu tukubuluze wewe na yerico kuhusu kale kawaraka, andrea codes nae yupo hapo, umemuona?
amepigiwa simu kaambiwa ni urgent issue!Imeshafika saa saba vp jaji bado hajatoa hukumu?
Wewe pia ni mmoja wao?mwongozooo! Jamani watoto hawajafungua shule wapo wanaperuzi na computer za wazazi wao!
aMabinti wa siku hizi si ajabu kuolewa na wazee!!labda hapo moyo unakuuma kisa dr hana time na wewe