Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

Status
Not open for further replies.
Zitto hawezi kushindana na taasisi akashinda.uanachama haupiganiwi mahakamani.mwisho wa cku atashindwa tu.
 
Wakuu kumepambazuka vema,

Viunga vya mahakama kuu vimetulia, watu wakiendelea kuwasili tayari kwa usikilizwaji wa pingamizi la Zitto Kabwe kutaka kamati kuu ya chadema isijadili utetezi wake,

Tumejiandaa vema kuwaletea kinachojiri na kuzuia upotoshaji mkubwa uliofanywa jana na kundi la wasaliti hawa wa mageuzi,

NB

Kamati kuu ya chadema inaanza kikao chake kama kawaida hivi punde na Zitto ataanza kutajwa ndani ya vikao hivyo baada ya saa tatu kamili asubuhi hii,

Pipoooooz!!!!!!!


UPDATES

Bado ukumbi wa kusikiliziwa shauri husika haujapangwa, nimeelezwa na mapokezi kuwa hivi punde watapanga na shauri litaanza kusomwa saa tatu,

Makamanda wengi wamashawasili, pikipiki zenye bendera za chadema zimetanda mahakamani,

Hali ya hewa ni nzuri ambapo nyuzi joto linakadiriwa kuwa 26 tu hivyo makamanda waliovalia suti wapo salama kabisa,


Tunaendelea .....


APDATES


Zitto yupo hapa mahakamani tangu saa 12 asubuhi, amejificha kwenye gari aina ya Carina no T564 CAS, anawalinzi wa nne wenye miili dhaifu (fizikali), kwakumuonyesha kuwa nimemuona, nimeenda kuengemea gari hiyo hiyo na huku napost updates,


Naaaam

Tumeruhusiwa kuingia ukumbini na kila mtu ametakiwa kuandika jina lale kwenye kitabu cha wageni wa mahakama,


Haya Zitto nae ameshushwa kwenye gari na wapambe wake wanne, anaingia sasa nae mahakamani,

Jambo lakufurahisha leo nikuwa Zitto amevaa mavazi ya SANDA,

Yaani meupe kama .....!


Wooooooooiiiiii Zitto anazomewaaaaaa CCMmmmmmmmmm, duuuuuh hii hatari ukumbi mzima umelipuka kwakumzomea, alianza kuwambia watu pipoziii, hahaa watu wakamjibu kwa kumzomea sana,

naaam watu wametulia wakimsubili jaji Utamwa aje akate mzizi wa fitina

UPDATES,

Wakili wa Zitto Bwana Msando ameshawasili, hahaa kaja moja kwa moja kunishika mkono, sijasita, nimemsalimia tena kwakicheko huku nikimwambia leo mnapigwa chini rasmi,


Bado mawakili wa Chadema bado hawajafika, tunawasubiri


UPDATES,

Mwanasheria mashuhuri katika ardhi ya Tanzania ndugu Tundu Lissu ndio anawasili, wapi pipooooooz!!!!

Watu wanashangilia hamna mfanoooooooo!


Heheeee kweli nguvu ya umma ni balaaa


UPDATES,

Wakili Kibatala ameingia, watu wanaendelea kushangilia,


Saaa tunamsubiri jaji Utamwa tu

jinsi unavyo report unaonyesha tu kuwa unaongozwa na ushabiki.ila la msingi ni kwamba,tuache sheria ichukue nafasi yake,maamuzi ya mahakama ni vyema yaka heshimiwa kwa nyie nyote mlioko ktk eneo la tukio,awe zitto ama wapinzani wake
 
Kwa umri wake na aliyoyafanya mbona ni success story tayari???!!!
Au una maanisha nini kusema hana ataloweza??!!!!

Kama ana makosa yawekwe wazi aadhibiwe lakini kusema hawezi kitu ni chuki za wazi kabisa zisizo na maegemezi asilani!!!!!

Wewe ni mtu makini usizolewe na siasa maji taka kirahisi mkuu!!!!!

Umejipa kazi ya kutetea maiti? umelipwa ngapi,au ndo zile buk7?
 
Wakati akiingia mahakamani akifuatana na mabaunsa sita na mmoja ikisemekana kuwa ni kijana wa usalama wa taifa alikutana na dhoruba ya kuzomewa na vijana wa cdm waliofika mahakamani leo mapesa. Ilikua ivi wakati anaingia akawasalimu vijana habari zenu......wakajibu toka huko wee ccm, huku wakiendelea kusema ccm

Na hilo nalo ni la kuripoti?Hao wapuuzi si watakuwa wamepewa script na HANDLERS wao ya nini wafanye mara wakimuona Zitto?Am not pro Zitto anyway,am just a somebody who is dying to see justice done to anyone regardless who they are.In this case Zitto,Mbowe and Dr Slaa who are all facing accusations they should be judged & punished equally!Am for justice.
 
Watu wa type hii Chadema wako wengi, walianzia kutumika kama dodoki, kasha kama dekio, then kama tp, sasa wanatumika kama hiyo kwenye bold, mwisho watatumika kama pe..!, wote hao mwisho wao ni kwenye bin tuu!.Pasco

Habari za Mattaka ni kweli. Njaa mbaya
 
Wewe mwenye kujua ndie yakupasa unijuze na mimi, nikazi gani aliyo tumwa Zitto? Na akina nani walio mtuma?

Kukivuruga chama ni kaz aliyopewa.....haijafanikiwa na ndio maana leo hii ccm wanatetea Zitto kufukuzwa uanachama.Imekula kwenu
 
Unaweza kuwa unamchukia sana Zitto Kabwe lakini kwa hili sio yeye. Ni katiba ya chama na taratibu za kisheria. Kama kuna mashauri mawili yenye mahusiano na moja wapo lipo kwenye vikao vya juu ni lazima limalizike kwanza na ndoo la pili lianze. Kamati kuu kwanini iwe na wasiwasi na hoja inayokwenda baraza kuu. Kama kweli imetenda haki?
Tuache ushabiki, mwenyekiti aitishe baraza maamuzi yafanyike then tujue mbichi na mbivu.
Na mashabiki mujiandae kisaikolojia kupokea maamuzi ya baraza. Yanaweza yakamfurahisha Zitto au yakaifurahisha kamati kuu.
Lets wait and see
 
Ni MwanaCDM gani asiyetambua lengo lake kwa chama hadi sasa? kazi aliyotumwa kuvuruga chama imeshamshinda na anawaogopa waliomtuma hasa akifikiria pesa nyingi walizompa!
Kwaushahidi gani unaomtia hatiani bw Zitto kua katumwa kukivuruga chama? Ni akina nani walio mtuma? Mbona ktk yale makosa 11 anayo shtamuwa nayo hilo la kutumwa kukivuruga chama halipo? Acheni kumezeshwa mambo kama watoto wa ndege nyie.
 
Kazi gani tena? Unachoongea unakijua/ uhakika nacho au umemezeshwa na akina Mbowe?
CDM hatumtaki msaliti, mpeni uwaziri labda atawasaidia.... Ngoja tuone Mahakama itakavyomsaidia kulinda vyeo vyake ndani ya CDM isiyomuhitaji msaliti huyu...
 
Status
Not open for further replies.
203 Reactions
Reply
Back
Top Bottom