Hata mimi siamini kihivyo maana Membe ni shushushu liliokubuhu, sasa iwaje anase katika mtego wa kifala namna hiyo????
Sio kimepikwa hicho? Membe ni mnafki kwel bt sidhan yeye na kigwa wanaweza kuwa wazembe kiasi cha kutupa ukumbini kimemo hicho....napata shaka
Hussein Bashe = Julius Malema of Magamba. Atawamaliza ngojeni tu!! Dogo ni moto wa kuotea mbali huwezi mtumia tu na kumtupa kama dodoki!! Ole ole ole!! CC MAGAMBA challiiiiiiiii!!hamna mbaya hapo; hao ni Waswahili wa Pemba ambao ufahamiana kwa Vilemba vyao
ngoja 2pate tanganzo kutoka kwa wadhami wetu richmond 2tarudi
Kuna majitu yanapenda siasa za Maji taka.Kama hata askofu walimlisha maneno ije kuwa kimemo kukimake.