Kutoka kwa babu seya na mwanaye

Nov 22, 2017
16
5
Mh magufuri anastahili hongera katika hilo lakini yote kwa yote, mh lowasa ndo kiini cha yote hayo kwasababu yeye ndo aliiweka hiyo kama irani ya compain hivyo bado kunaumuhimu wa uwopo wake na umuhimu wa kuendelea kuwepo kwa jina la lowasa. Mshangae yeyote ambaye anasema EET, kama magufuri anatekeleza sera za upinzani eeet haina haja ya upinzani, hiyo ni no no no
 
Mh magufuri anastahili hongera katika hilo lakini yote kwa yote, mh lowasa ndo kiini cha yote hayo kwasababu yeye ndo aliiweka hiyo kama irani ya compain hivyo bado kunaumuhimu wa uwopo wake na umuhimu wa kuendelea kuwepo kwa jina la lowasa. Mshangae yeyote ambaye anasema EET, kama magufuri anatekeleza sera za upinzani eeet haina haja ya upinzani, hiyo ni no no no
muongeaji na mtenda nani bora babu yenu lowassa kazi kuropoka

Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
 
Compain=campaign
Irani=Ilani
Kunaumuhimu=kuna umuhimu
Uwopo=Uwepo
Magufuri=magufuli
EET=eti
Tulia uandike vzr kitu cha kueleweka Kwn unakimbizwa na Nani? Khaa!
 
Back
Top Bottom