Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,154
- 2,655
KabisaAcheni umbulula usalama ni kaidara kadooogo tu usione watu wanajitutumuuuua unawezaje kuifananisha na polisi, by the way sio jeshi wao ni idara ,uelewe ni kama uhamiaji tu ni idara ndiomaana juzi wakaleta muswada Bungeni zimamoto na uhamiaji watambulike kama majeshi yanayojitegemea , kwahiyo idara na Jeshi ni vitu viwili tofauti kabisaaa