Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,054
- 7,263
Umemkamataa uyo mtot wa kikeMIJITU INAANZISHA UZI KUJADILI WATU
Mbona anacheza Ligi bongo katoka NBA.
Mamaee, ulitaka akifika bongo aanze kutumbua maishaa. Awe na maisha ya ANASA ,achangamane na Chawa....ndo mseme Jamaa katoboa???
Huyo ni mchezaji, mwili wake keshauzoea mazoezi
Angecheza nn ??? Akacheze mpira wa miguuu ili hali yeye nimchezaji wa basketiboli?
Kwahiyo Samata akiamua kutundika daluga la kimataifa, akirudi bongo, akae kwake?
SASA MNIAMBIE.... KATI YENU NYINYI... NA HASHIMU NA SAMATA... NANI ANAMAISHA MAKUBWA KUZIDI MWINGINE?
Kamtu kamekaaa kitandani kwa Baba yake. Hakajapiga hata mswaki, chai kanipikiwa kwao, kameamka kameshika simu, kameingia mtandaoni
Kanafungua Uzi..Hashimu kafuliaaa..... Kafulia ya nyoko?
Samata namuonea hurumaa.... Huruma ya nyoko?
KWEMDENI HUKO, MIJINAFIKI NYINYI