Mgugu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,165
- 4,398
Wengine hata meno hawana wanalimia fizi mda huu" NIKIWA RAIS MTALIMIA MENO "
Maendeleo hayana chama
Wengine hata meno hawana wanalimia fizi mda huu" NIKIWA RAIS MTALIMIA MENO "
NINA NENO MOJA KWA VIJANA WANGU WASOMI.
Hebu tuelewane kuhusu hili neno sheli na kituo cha mafuta, najua kuna mada ilikuwepo kuhusu hii kadhia ya kuita kila kituo cha mafuta ni sheli.
Aisee,.tutavunjwa hadi viuno awamu hii kupisha upanuzi..
Hakika.Msomi kuita kila kituo cha mafuta ni shell hakika inafedhehesha