babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,107
- 16,000
Sijaelewa kafa lini tena?🤔
Sijaelewa kafa lini tena?🤔
Huu uzi ukifutwa basi aliyesababisha ufutwe ashajulikanaSi amesema usitaje jina,mbona ameeleweka
Kumpa Mercedes Benz ya USD 1.2 sio mchezo aiseeMama ana mahaba mazito na Mzee Mstaafu. Inawezekana hata the way anavyomuangalia huyu Mzee wakikutana unaoiona connection. Kweli damu ni nzito kama ni kweli.
PamisheniKwani Permission kwa kiswahili inaitwaje?
Kwan amesema atokeUtaumia roho yako bure maana hatoki hadi 2030 hata mzue uongo gani mwenzenu hana habari.
Uko sahihi kama ambavyo ni ujinga kudhani ya kuwa Dini ni takatifu yani ni ujinga mtupu!!!Kudhani kwamba muislamu ni mtakatifu ni ujinga wa hali ya juu sana wakati huyu muislamu ni mtu na anaweza kukosea kama binadamu.
huwa tunatumia code ya kazi 1 kazi 2Ndiyo Umeweka Code Gani? Tumia Radio Call Za PGO Ndiyo Utajua Hizo Code Unapomuita Kiongozi Mkubwa Code Huwa Vp
Hello ...
Hello ...
Over...Kifaru Yupo Karibu.....Over....Tembo...Anapita Salama Kwa Nguvu Ya Tano
wabongo wakisha shiba hizi mambo wanaziweza sana umbea umbea ndio mana nchi haisogeiAchana habari za vijiweni mkuu, chai hua ni nyingi sana
Alikuwa bro...lakini mushkel wallah!Aysee.... Nilikuwa nadhani ni me.
Natamani kujua chanzo cha kifo chake.
Umri, maradhi au ajali.
Sijaelewa hapa. 'mushkel wallah'Alikuwa bro...lakini mushkel wallah!
Warumi alifariki lini mkuu mbona sijui aiseeAlifariki