DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 421
- 648
Siku hizi kupata kazi serikalini kumekuwa na mambo yanayoenda kinyume na utaratibu wanaangalia umaarufu wa mtu na kujuana tuu wacha wagawane keki ya taifa mpaka vipande wasivyo stahili kujibiwa ikifika wakati wa kujibu kila mmoja atajibu kwa uwezo wake