TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
TUNTEMEKE NIPO LIVE HAPA KONKONO,
Nipo Live Muda huu hapa kakonko Kigoma kwenye Viwanja Vya Bunge(Wakazi wa hapa ndio wanaita hivyo).Maandamano ni makubwa sana,Ambapo Dr.slaa anategema kufanya Mkutano hapa Jioni ya leo.
Lakini hali si shwari kabisa kutokana na watu kuanza kuongezeka wakiwa na matawi ya miti kwenye viwanja hivi vya Bunge.
Nyimbo ambayo inaimbwa na haikatini ni kwamba "Tunamtaka Zitto wetu",Gari ya M4C ya Pickup ipo hapa ikiwa na watu watatu ndani ikizunguka na kutishia watu kuwa Tutawakamata, Tutawapeleka gerezani, tutawaua, Ondokeni kwenye eneo la Mkutano.
Cha kushukuru ni kwamba Polisi wapo na wamejipanga kukabiriana na Uvunjifu wowote wa Amani.
Gari linatangaza kuwa Dr.slaa anafika hapa baada ya dakika 10
MORE UPDATES TO COME,
Mods na Uongozi wa jf naomba msichanganye Uzi huu na mwingine ni tukio la Kihistoria linakwenda kutokea hapa kakonko, Ni muhimu watanzania wapate live Updates hapa.
UPDATES
Mkutano unaanza hapa Viwanja Vya Bunge,Dr,slaa amefichwa sehemu,amepanda Kiongozi wa kanda ya Magharibu kutuliza wananchi(mwenyekiti wa kanda ya magharibi)
UPDATES,
Dr.slaa ametolewa eneo alilokuwa amefichwa na sasa amepandishwa Jukwaani akiwa na Vijana 13 wa Redbrigade na Polisi watano.
Kwa sasa anazungumzia kuhusu Polisi na nafasi yao kwenye mambo ya siasa,Pia anawaomba sana Polisi wawe karibu kwaajili ya kulinda watu,anashukuru Kuona kuna ulinzi wa kutosha,gari la kumwagia maji.
Wakati anaanza kuzungumza alizomewa sana wa Kundi kubwa la akina mama na vijana wakidai tunamtaka Zitto wetu,Amewaomba atawambia mwishoni alipo,wamsikilize kwa muda kwanza.
UPDATES TENA,
Dr.slaa akiwa kwenye Ulinzi Mkali anazungumzia kuhusu Mabango yaliyopo mbele yake kuwa si katiba ya CHADEMA, Anawatishia vijana na wananchi waliobeba mabango yanayopinga maamuzi ya kamati kuu na kusema nitawapeleka Polisi wote mliobeba Mabango.
Wakuu kupiga Picha hapa ni kazi sana Vijana wa REDBRIGADE wameshamkamata mtu mmoja ambaye anatumia simu yake kupiga picha,wanadai atoe vitambulisho vyake vya uandishi wa habari.
Hivyo kupiga picha hapa inahitaji ujanja sana. Nakumbuka Kijana wa NDAGO alivyouawa na REDBRIGADE kwa kupasuliwa kichwa kwasababu tu aliuliza swali kwenye Mkutano wa Dr.slaa, swali lilikuwa linamnanga Slaa, akavamiwa na kuuawa.
Hivyo najitahidi kuwapa Upddates hizi kwa maneno kwanza
Nipo Live Muda huu hapa kakonko Kigoma kwenye Viwanja Vya Bunge(Wakazi wa hapa ndio wanaita hivyo).Maandamano ni makubwa sana,Ambapo Dr.slaa anategema kufanya Mkutano hapa Jioni ya leo.
Lakini hali si shwari kabisa kutokana na watu kuanza kuongezeka wakiwa na matawi ya miti kwenye viwanja hivi vya Bunge.
Nyimbo ambayo inaimbwa na haikatini ni kwamba "Tunamtaka Zitto wetu",Gari ya M4C ya Pickup ipo hapa ikiwa na watu watatu ndani ikizunguka na kutishia watu kuwa Tutawakamata, Tutawapeleka gerezani, tutawaua, Ondokeni kwenye eneo la Mkutano.
Cha kushukuru ni kwamba Polisi wapo na wamejipanga kukabiriana na Uvunjifu wowote wa Amani.
Gari linatangaza kuwa Dr.slaa anafika hapa baada ya dakika 10
MORE UPDATES TO COME,
Mods na Uongozi wa jf naomba msichanganye Uzi huu na mwingine ni tukio la Kihistoria linakwenda kutokea hapa kakonko, Ni muhimu watanzania wapate live Updates hapa.
UPDATES
Mkutano unaanza hapa Viwanja Vya Bunge,Dr,slaa amefichwa sehemu,amepanda Kiongozi wa kanda ya Magharibu kutuliza wananchi(mwenyekiti wa kanda ya magharibi)
UPDATES,
Dr.slaa ametolewa eneo alilokuwa amefichwa na sasa amepandishwa Jukwaani akiwa na Vijana 13 wa Redbrigade na Polisi watano.
Kwa sasa anazungumzia kuhusu Polisi na nafasi yao kwenye mambo ya siasa,Pia anawaomba sana Polisi wawe karibu kwaajili ya kulinda watu,anashukuru Kuona kuna ulinzi wa kutosha,gari la kumwagia maji.
Wakati anaanza kuzungumza alizomewa sana wa Kundi kubwa la akina mama na vijana wakidai tunamtaka Zitto wetu,Amewaomba atawambia mwishoni alipo,wamsikilize kwa muda kwanza.
UPDATES TENA,
Dr.slaa akiwa kwenye Ulinzi Mkali anazungumzia kuhusu Mabango yaliyopo mbele yake kuwa si katiba ya CHADEMA, Anawatishia vijana na wananchi waliobeba mabango yanayopinga maamuzi ya kamati kuu na kusema nitawapeleka Polisi wote mliobeba Mabango.
Wakuu kupiga Picha hapa ni kazi sana Vijana wa REDBRIGADE wameshamkamata mtu mmoja ambaye anatumia simu yake kupiga picha,wanadai atoe vitambulisho vyake vya uandishi wa habari.
Hivyo kupiga picha hapa inahitaji ujanja sana. Nakumbuka Kijana wa NDAGO alivyouawa na REDBRIGADE kwa kupasuliwa kichwa kwasababu tu aliuliza swali kwenye Mkutano wa Dr.slaa, swali lilikuwa linamnanga Slaa, akavamiwa na kuuawa.
Hivyo najitahidi kuwapa Upddates hizi kwa maneno kwanza