mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
sijui, leo ni 1 sept usinitie hatiani, kwani hii ya lini?Hivi nyie wafuasi wa mafisadi hamuwezi kuandika bila kutoa lugha za kuudhi?
sijui, leo ni 1 sept usinitie hatiani, kwani hii ya lini?Hivi nyie wafuasi wa mafisadi hamuwezi kuandika bila kutoa lugha za kuudhi?
hamia kwan tumekuita huku?
Kwa mnazidi kutujazia id nyingi
Sikusikia sehemu ambayo Mgombea urais alisema ata waachia Mashekh na akina Babu sea, alicho kisema ni kuwa tatizo la mashekeh wa Zanzibar na Babu Sea tutalishughurikia, na pia msijitoe ufahamu kuwa swala la mashekhe wa Zanzibar lina utata wa kisheria, walikamatiwa Zanzibar iweje kesi yao iendeshewe Tanganyika
CCM wachawi sana. Utashangaa uzinduzi ukiisha ukiliwasha linawaka!
Waliopo Jela wote si kwamba wana Hatia kuna kesi za kutengeneza pia zipo kesi za kubambikiwa kwa nia ya kumkomoa mtu au kutengeneza mazingira ya Rushwa.
Toa uthibitisho kuwa babu seya na wanae kuwa ni wabakaji, toa uthibisho wa mashehe walofungwa kuwa ni magaidi.
Sikusikia sehemu ambayo Mgombea urais alisema ata waachia Mashekh na akina Babu sea, alicho kisema ni kuwa tatizo la mashekeh wa Zanzibar na Babu Sea tutalishughurikia, na pia msijitoe ufahamu kuwa swala la mashekhe wa Zanzibar lina utata wa kisheria, walikamatiwa Zanzibar iweje kesi yao iendeshewe Tanganyika
mwambieni slaa ajadili hoja sio personal attack kwa lowassa, maana mi niliona amemjadili lowassa mwanzo mwisho hakujadilili hoja yoyote
Hauwezı kumtenganisha Lowasa na hoja ya ufisadi.
MAHAKAMANI, unajua lolote kuhusu mahakama za kibongo? kwa taarifa yako unaweza kuhukumiwa hata kifo kwenye mahakama za kibongo tena bila kosa kwa ushahidi wa kuunga unga, nina watu nawajua wamekoswa koswa kunyogwa na wengine wamekaa ndani miaka kumi kisha wanaambiwa ushahidi ulikosewa kisha wanaachiwa huru. Unasema natetea kwakuwa hizo ni tabia zangu? ok weka wanao mbali nami basi kama unaniona hivyo.Wewe nawe, uthibitisho ulitolewa mahakamani na mahakama ikathibitisha.Usıkute unatetea kumbe nawe hzo ni tabia zako.
Hivi watu waliohudhuria uzinduzi wa CCM pale jangwani hawakuja kabisa jana? Ina maana kundi la jana ni tofauti na kundi la siku ya uzinduzi wa CCM?
Hivi kampeni meneja wa ukawa na chadema ni nani naomba kujua
John mrema