Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,269
- 5,890
Kumbe we fala ulichangia UKAWA tukose ushindiIngependeza sana Dr. Slaa angekuwa mgombea urais kisha Lowassa angekuwa tu mwanachama au angefanya anachofanya mzee Sumaye! Kwa kweli niko njia panda, udiwani na ubunge Uakawa tuko pamoja ila urais nimeegemea zaidi kwa tingatinga, ngoja niendelee kuwasoma hawa watu wawili!