Kutoka ITV: Mjadala kuhusu DOWANS; wachangiaji wataka maandamano nchi nzima

Hapo ndo utajua MTANZANIA wa sasa si wa ten years back,angalia hao vijana waliopo ktk mdahalo walivyo na uchungu na nchi yao.Dah!Magamba jamani....!aah...,kwakweli KITANZI halali yao.
 
watu kama ni kweli tuna uchungu na nchi yetu, tuingie barabarani. Maneno matupu hayafai
 
watu kama ni kweli tuna uchungu na nchi yetu, tuingie barabarani. Maneno matupu hayafai
Watanzania ni watu waoga sana, tupo tayari tuibiwe na watu wachache lakini tutaabike kwa minajili ya amani ambayo imejaa umaskini mtupu kama Somalia isiyokuwa na serikali.
 
jamaa wanasema kimsingi suala la dowans kulipwa na tanesco ni mchezo wa kuigiza, kwani kutoka mwanzo walishakubaliana kuwa endapo km kutakuwa na tatizo kati yao wasiende mahakamani na badala yake waende katika baraza la usuluhishi, ambapo kimsingi maamuzi ya baraza yatakuwa ya mwisho, na walijua wanayafanya haya kwa sababu mwisho wake ungewalizimu kwenda mahakamani. Na hata hukumu iliyotolewa na mahakama ilibase katika makubaliano hayo. Lakini jambo jingine, na maajabu ya Tanesco kujaribu kuwazuia wanaharakati ambao walikuwa wanapinga mahakamani tuzo kama ilivokuwa imetakiwa na baraza.

nimeipenda nukuu ya tajiri mbwa na mlinzi!tulipe gharama za usafiri wa gari iliyokuja kutuibia maana dili imenuka mwizi hawezi lipia gari!
 
Yule mama, Ananilea, amesema bila kumumunya maneno: "Tuingie barabarani kwa amani, atakayekataa tumjue. Hakuna mahakama iliyo juu ya wananchi wala kiongozi aliye juu ya wananchi".

Hakuna mjadala zaidi. Utekelezaji uanze mara moja!
 
Yule mama, Ananilea, amesema bila kumumunya maneno: "Tuingie barabarani kwa amani, atakayekataa tumjue. Hakuna mahakama iliyo juu ya wananchi wala kiongozi aliye juu ya wananchi".

Hakuna mjadala zaidi. Utekelezaji uanze mara moja!

Athubutu aone
 
Ndugu wana JF nimepata hamasa baada ya kumsikiliza mama NANILEA NKYA ambaye yuko live ITV ameshauri tuandae maandamano makubwa kupinga kulipa deni haramu la DOWANS.

Napendekeza tuandae maandamano haya siku ya kumbukumbu ya kifo cha mwalimu Nyerere, 14/10 ili kumuenzi mwalimu.

CDM tunaomba mtupe muongozo.

Nawasilisha.
 
Mkinga is attempting to pave her way towards 2015 elections. His vitriol and caustic remarks against CCM are largely fictitious and utterly spurious. His trend has normally been followed by a lot of knavish protagonists who manipulate their platforms just to find their way into politics. So I don't see any genuine willingness inside this loquacious crusader but only a desire to leadership.
Mwita25 unafikiri ni hilo tu ndiyo lonalo msukuma tu huyu jamaa kuitupia lawama serikali? Mimi nadhani ni mmoja wa watu wenye uchungu na hii nchi.
 
Watz kama hawa viongozi wameshindwa kuwajibishana, tuchukue hatua mkononi, nadhani nimeeleweka!
Mi naamini tukiwachoma moto watatu tu watajirekebisha hawa!
 
Ndugu wana JF nimepata hamasa baada ya kumsikiliza mama NANILEA NKYA ambaye yuko live ITV ameshauri tuandae maandamano makubwa kupinga kulipa deni haramu la DOWANS.

Napendekeza tuandae maandamano haya siku ya kumbukumbu ya kifo cha mwalimu Nyerere, 14/10 ili kumuenzi mwalimu.

CDM tunaomba mtupe muongozo.

Nawasilisha.
Mkuu CDM ndio wanatoa muongozo? Mimi nadhani wanaharakati kama hao akina Nkya ndio wangetoa muongozo ili maandamano yawe ya watanzania wote sasa kama ni CDM huoni yatakuwa ya wana CDM peke yao?
 
Mkinga is attempting to pave her way towards 2015 elections. His vitriol and caustic remarks against CCM are largely fictitious and utterly spurious. His trend has normally been followed by a lot of knavish protagonists who manipulate their platforms just to find their way into politics. So I don't see any genuine willingness inside this loquacious crusader but only a desire to leadership.

how can you see the people with willingness to save our country while you have closed your eyes..!? I think even the brain doesn't reason properly MR. ingilishi
 
deni lina lipika. Jamani tusitake tutafute mchawi. Acheni tu tulipe hli deni yaishe. Tena si inasemekana hao wababe wa richmond ndo haohao wazee wa dowans, bas acha tu watanzania wenzetu wachukue hicho kiasi watawekeza then na sisi wengine tutapata ajira.

wewe umerogwa, unahitaji kuaguliwa
 
jamani wana jamvi

nawaomba wanaharakati,wasomi,wanafunzi wa chuo na wananchi wa vyuo wakiwemo wana harakati watusaidie kuanda vibali au talatibu za kuanda maandamano ya amani kupinga tamko la mahakama la kulipa dowans.natamani baada ya kupata vibali mtutaalifu ni lini watu tukutane tuingie barabarani maana hakuna jinsi

naomba hata viongozi wa dini zote tuungane,viongozi wa vyama vya upinzani muwe pamoja nasisi katika kufanyikisha hili mimi nipo tayari wewe je?
 
Yupo itv na marumbano ya hoja..mkinga ni mkereketwa haswakwenye suala la dowans.

Hoja ni je? Deni la dowans lina lipika??

Huyu bwana anongea kwa mchungu kinoma. yani anwachukia mafisadi/ccm. huo ni wizi mkubwa sana. watanzania tutaibiwa hadi lini. debate ni nzuri.
 
Mkinga ni mzalendo na kweli ndo kinga yake!
Tatizo letu sisi Watanzania ni watu wa kufumbia maovu kwa kuogopa dora!
Dorakitu gani kama asilimia 80 ya Watanzania wanaishi chini ya $1,
Tunahtaji watu wenye hisia na uthubutu kama Mkinga, tunahtaj watu waliotayali kuuza Uhai wao kwa Masrahi ya Taifa kama mpiganaji Mkinga!
His Regtmacy is remarkable ever and forever! Let's dare to talk openly and freely coz hamna wa kutuzuia na. Magamba na serikali yao wanatambua mioyoni hawana raha kama kweli ni WachaMungu wa kweli.
Mnakumbuka hadithi ya Kibanga ampiga mkoloni?
 
Back
Top Bottom