jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Wafanyabiashara Wadogo
(a) Kutengwa kwa maeneo rasmi yenye ukubwa wa hekta 15,822.64 kwa
ajili ya wajasiriamali wakiwemo mama lishe na wauza mbogamboga
kufanyia biashara katika mikoa 19 ya Arusha, Iringa, Mara, Rukwa,
Tanga, Shinyanga, Mwanza, Kilimanjaro, Singida, Morogoro, Manyara,
Njombe, Kagera, Dar es Salaam, Dodoma, Lindi, Geita, Tabora na
Ruvuma;
(b) Kuwezesha wafanyabiashara wadogo kufanya biashara zao bila
bughudha kwa kutoa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo
zaidi ya 1,527,323 katika mikoa yote Tanzania bara; na
(c) Kuongezeka upatikanaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa
wafanyabiashara wadogo wadogo ambapo Mfuko wa SELF (Small
Entreprenuer Loan Facility) Microfinance umetoa mikopo yenye
thamani ya zaidi ya shillingi billioni 26 kwa wajasiriamali na
kutengeneza ajira zaidi ya 13,000 kwa wanufaika.
IMEAZIMWA KUTOKA KITABU CHA ILANI YA CCM
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
(a) Kutengwa kwa maeneo rasmi yenye ukubwa wa hekta 15,822.64 kwa
ajili ya wajasiriamali wakiwemo mama lishe na wauza mbogamboga
kufanyia biashara katika mikoa 19 ya Arusha, Iringa, Mara, Rukwa,
Tanga, Shinyanga, Mwanza, Kilimanjaro, Singida, Morogoro, Manyara,
Njombe, Kagera, Dar es Salaam, Dodoma, Lindi, Geita, Tabora na
Ruvuma;
(b) Kuwezesha wafanyabiashara wadogo kufanya biashara zao bila
bughudha kwa kutoa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo
zaidi ya 1,527,323 katika mikoa yote Tanzania bara; na
(c) Kuongezeka upatikanaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa
wafanyabiashara wadogo wadogo ambapo Mfuko wa SELF (Small
Entreprenuer Loan Facility) Microfinance umetoa mikopo yenye
thamani ya zaidi ya shillingi billioni 26 kwa wajasiriamali na
kutengeneza ajira zaidi ya 13,000 kwa wanufaika.
IMEAZIMWA KUTOKA KITABU CHA ILANI YA CCM
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!