Halafu eti hii ni taarifa kutoka ikulu, sijui ni lini hao jamaa watajifunza kuwa objective kwenye taarifa zao!!!!!!!!!
Inaonekana Invisible kuna jambo unalijua, hebu tujuze mkuu.
Saa 10:00am, toka viwanja vya Ikulu, DSM.Hiyo serikali inatangazwa saa ngapi?
kWA MUDA..........SAA MBILI NA DAKIKA AROBAINI NA NANE KWA MASAA YA HAPA TZ YA LEO HII TAREHE 24/11/2010 NADHANI HII NI TETESI.............Baada ya kukataa kwa muda sasa kutokana na ushauri aliyokuwa anapewa na rafiki zake wakiongonzwa na Seleli aliyesafiri toka Dar kwenda Dodoma kumwambia Sitta asikubali kupewa uwaziri, sasa dhamana ameikubali na kupuuza maneno ya marafiki. Ndiye Waziri wa SHERIA NA KATIBA. Nakutakia kila la kheri na uongoze kwa haki na si majungu.
Uwezekano wa jipya kuwepo ni mkubwa... Najua wengine mtashtuka ikitokea mtu wa kambi ya upinzani ataingia katika baraza jipya
Saa 10:00am, toka viwanja vya Ikulu, DSM.
Si tetesi tusubiri wakati utawadia yote yatakuwa wazi zaidi,ni kweli amepatiwa wizara hiyo.kWA MUDA..........SAA MBILI NA DAKIKA AROBAINI NA NANE KWA MASAA YA HAPA TZ YA LEO HII TAREHE 24/11/2010 NADHANI HII NI TETESI.............
Kwani baraza linatangazwa saa ngapi?kWA MUDA..........SAA MBILI NA DAKIKA AROBAINI NA NANE KWA MASAA YA HAPA TZ YA LEO HII TAREHE 24/11/2010 NADHANI HII NI TETESI.............
Kwani baraza linatangazwa saa ngapi?
TetesiSource?
Saa 5 Asubuhi hii!!
Saa 10:00am, toka viwanja vya Ikulu, DSM.