Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Rais JPM alipoingia madarakani pamoja na umeme wa kusuasua na vijinereta kushamiri kila kona ya nchi, hususan Kariakoo na popote pale Tanzania ambako wananchi walihitaji umeme wa kufanya shughuli zao bila longo longo.
4 years hakuna aliyetegemea Tanesco kuwa shirika linalotoa gawio kwa Serikali na kujiendesha bila kukuru kakala. BWM pamoja na JK walishindwa (I mean failed) hawakuweza kutatua hili tatizo.
JPM, I mean the guy with guts to remove chronic problems and now is leading this country to prosperity. To make Tanzania a place of choice for investments and make Tanzanians life better.
4 years hakuna aliyetegemea Tanesco kuwa shirika linalotoa gawio kwa Serikali na kujiendesha bila kukuru kakala. BWM pamoja na JK walishindwa (I mean failed) hawakuweza kutatua hili tatizo.
JPM, I mean the guy with guts to remove chronic problems and now is leading this country to prosperity. To make Tanzania a place of choice for investments and make Tanzanians life better.