ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,552
- 44,708
Ajenda kuu mwaka huu iwe ni suala la ajira watanzania tujiulize nani ana sera nzuri za kuwapa watoto wa wenye Nchi ajira ili nao wafike mahali pazuri kama ambavyo na wenyewe walipata ajira wakafikia hizo nafasi kubwa kubwa.
Tuache Kwanza habari za nyongeza ya mshahara kwa watumishi tujue inakuaje kuaje vijana wanazidi kumaliza chuo kilio kikiwa ni ajira ili waache kuwa wategemezi.
Tuache Kwanza habari za nyongeza ya mshahara kwa watumishi tujue inakuaje kuaje vijana wanazidi kumaliza chuo kilio kikiwa ni ajira ili waache kuwa wategemezi.