Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
"Naomba msamaha kwa viongozi wote kama nilikwaza huko nilikokwenda nilikua kama nipo magereza",Hayo ni maneno ya Mgana Msindai huko dodoma
Auponda upinzani. Adai Magufuli ameikamata nchi kisawasawa.
Msindai: Ninaomba msamaha kwa wanachama wote wa CCM walionikwaza na mimi nimwewasemehe, nilipokwenda ni kama mahabusu.
Msindai: Kona zote kashika Magufuli, Anatupeleka mahala tunapostahili na nawaomba wanaCCM wenzangu tuwe na Rais wetu.
Msindai: Magufuli akishakua mwenyekiti, aingie na kwenye chama kwani kina rasilimali nyingi ili tufike salama.
Msindai: Rais wetu, sisi tunang'atuka, nampongeza kwa kuchagua vijana. Nikaona aibu, nikasema nitarudi CCM kwa baba na mama.
Auponda upinzani. Adai Magufuli ameikamata nchi kisawasawa.
Msindai: Ninaomba msamaha kwa wanachama wote wa CCM walionikwaza na mimi nimwewasemehe, nilipokwenda ni kama mahabusu.
Msindai: Kona zote kashika Magufuli, Anatupeleka mahala tunapostahili na nawaomba wanaCCM wenzangu tuwe na Rais wetu.
Msindai: Magufuli akishakua mwenyekiti, aingie na kwenye chama kwani kina rasilimali nyingi ili tufike salama.
Msindai: Rais wetu, sisi tunang'atuka, nampongeza kwa kuchagua vijana. Nikaona aibu, nikasema nitarudi CCM kwa baba na mama.