Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,467
"Jahazi hili, upepo uwe mwingi, upepo uwe mdogo, jahazi hili lazima likate mawimbi hili safari ifike." Mhe. Rais Samia.
Dereva wa lori, Mungu amrehemu, nae alisema anatupeleka kwenye nchi ya asali na maziwa, hivyo tulitakiwa kutulia na kuwa kwenye mako wowote ule. Lakini ndio hivyo katutoka.
Sasa tumeshushwa kwenye lori na kuingizwa kwenye jahazi, na tunaambiwa vyovyote vile lazima tufike ila hatujaambiwa mwisho wa safari patakuwaje, na itachukua muda gani.
Je, lilipokuwa linaenda lori ndio jahazi linaelekea?
Dereva wa lori, Mungu amrehemu, nae alisema anatupeleka kwenye nchi ya asali na maziwa, hivyo tulitakiwa kutulia na kuwa kwenye mako wowote ule. Lakini ndio hivyo katutoka.
Sasa tumeshushwa kwenye lori na kuingizwa kwenye jahazi, na tunaambiwa vyovyote vile lazima tufike ila hatujaambiwa mwisho wa safari patakuwaje, na itachukua muda gani.
Je, lilipokuwa linaenda lori ndio jahazi linaelekea?