Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Wadau Kunani JF mbona sijaona thread yoyote inayohusu taasisi au chuo hiki kwa mazuri na mabaya yake? Kama kuna yeyote anajua kisa na mkasa atafanya la maana kama atanijuza kupitia hapa hapa, hivo hivo. Inaniwia ngumu kuamini kuwa DIT haipati au haina wadau wa kuweza kumwaga nyuzi hapa kha! Mi ninazo lakini mmh! Kimya kimezidi juu ya DIT hapa jamvini.
Nijuzeni au nitoeni shaka kwanza kabla sijaachia bureki...!
Nawasilisha Wakuu.
Nijuzeni au nitoeni shaka kwanza kabla sijaachia bureki...!
Nawasilisha Wakuu.