masingo sharili
Member
- Mar 18, 2011
- 63
- 12
KATIKA HALI YA KUSHANGAZA VIJANA WAWILI WALIVAMIA MKUTANO WA CHADEMA KTK KATA YA DARAJA MBILI ULIOHUDHURIWA NA MAMIA YA WANANCHI KUTOKA MITAA YA SANARE, DARAJANI, JAMUHURI NA MITAA MINGINE YA KATA HIYO. LEMA ALIKUWA JUKWAANI KUMNADI MGOMBEA WA CHADEMA KTK KATA YA DARAJA MBILI BW. PROSPER MSOFE AMBAYE ANAONEKANA KUVUTA UMATI MKUBWA WA WANANCHI KTK MIKUTANO YAKE YOTE NILIOISHUHUDIA KWA MACHO YANGU.
KTK HALI ISIYO YA KAWAIDA VIJANA HAO WALIANZA KUZOMEA ZOMEA KILA MARA WAKATI LEMA AKIHUTUBIA. KITENDO HICHO KILISABABISHA VIJANA WA RED BRIGADE WA CDM KUWAKAMATA NA KUWAHIFADHI MBELE YA JUKWAA LA MKUTANO ILI KUWAEPUSHA NA KIPIGO KUTOKA KWA WANANCHI WALIOKUWA WAMEFURIKA ENEO HILO. BAADA YA MKUTANO KWISHA, ZOEZI LA KUCHANGISHA FEDHA ZA KUMWEZESHA DIWANI LILIENDELEA AMBAPO ZAIDI YA SH.1600000 ZILIPATIKANA. BAADA YA HAPO, ZOEZI LA KUVUA GAMBA LILICHUKUA NAFASI AMBAPO MABALOZI WAWILI NA WANACHAMA WENGINE 20 WALIREJESHA KADI ZA CCM NA KUKABIDHIWA ZA CDM.
MWISHO, mh. lema aliamuru wale vijana wawili wapandishwe jukwaani ambapo alielezea jinsi ambavyo alikuwa akiwasadia ikiwa ni pamoja na kuwanunulia boda boda 2 kama mtaji na akawaagiza wawe wanatoa mrejesho wa sh 30000 kwa wiki ili kutengeneza mtaji wa vijana wengine wa Arusha LKN vijana hao walitokomea na baadaye wakaibuka kwa mbunge wa viti maalum wa cdm hapa arusha wakiomba wasaidiwe mtaji wa kuuza matunda, mbunge huyo aliwapa sh. 400000. BAADA YA MDA walirejea tena kwa lema wakidai sh 1000000 ya kufanya biashara, MH. LEMA ALIWAKATALIA NA ALIWATAKA WAREJESHE KIASI CHA ZILE FEDHA ZA BODA BODA ILI KUSAIDia VIJANA WENGINE WASIO NA AJIRA KTK JIJI LA ARUSHA, CHA KUSHANGAZA VIJANA HAO WALIPONYIMWA PESA WALIZOKUWA WANAHITAJI KTOKA KWA LEMA WALIANZA KUZUNGUKA MITAANI WAKIMCHAFUA NA HATA KTK MITANDAO YA KIJAMII. KAMA HAITOSHI VIJANA HAO WAWILI WLIVAMIA MKUTANO WA CDM DARAJA 2 SIKU YA IJUMAA TAR. 19/10/2012 KWA LENGO LA KUVURUGA.
Baada ya lema kumaliza maelezo yake pale jukwaani, wananchi walipandwa na jazba na kutaka kuwavamia wale vijana LKN MH. LEMA ALITANGAZA KUWASAMEHE AMBAPO WANANCHI WENYEWE WALIONEKANA KUKATAA MSAMAHA HUO, NDIPO LEMA ALIPOAMURU GARI LAKE KUSOGEZWA KARIBU NA KUWAPAKIZA WALE VIJANA WAWILI ILI KAWAOKOA NA KIPIGO KUTOKA KWA UMATI WA WATU ULIOKUWA UMEPANDWA NA JAZBA KUTOKANA NA KUKERWA NA VIJANA HAO. aidha ktk kuhitimisha msamaha wke kwa vijana hao, LEMA ALIWAPA SH. 20000 KILA MMOJA NA KUWATAKA WAACHE USHAROBARO NA WAJITUME KUFANYA KAZI.
MY TAKE:
Huo ndio ukweli kuhusu tukio lililomuhusisha lema na wale vijana wawili ktk kata ya daraja2 tar.19/10/2012, hivyo wana jamii tuepukane na propaganda za kupindisha habari ikiwemo kumchafua mh. lema. bila sababu ya msingi.
KTK HALI ISIYO YA KAWAIDA VIJANA HAO WALIANZA KUZOMEA ZOMEA KILA MARA WAKATI LEMA AKIHUTUBIA. KITENDO HICHO KILISABABISHA VIJANA WA RED BRIGADE WA CDM KUWAKAMATA NA KUWAHIFADHI MBELE YA JUKWAA LA MKUTANO ILI KUWAEPUSHA NA KIPIGO KUTOKA KWA WANANCHI WALIOKUWA WAMEFURIKA ENEO HILO. BAADA YA MKUTANO KWISHA, ZOEZI LA KUCHANGISHA FEDHA ZA KUMWEZESHA DIWANI LILIENDELEA AMBAPO ZAIDI YA SH.1600000 ZILIPATIKANA. BAADA YA HAPO, ZOEZI LA KUVUA GAMBA LILICHUKUA NAFASI AMBAPO MABALOZI WAWILI NA WANACHAMA WENGINE 20 WALIREJESHA KADI ZA CCM NA KUKABIDHIWA ZA CDM.
MWISHO, mh. lema aliamuru wale vijana wawili wapandishwe jukwaani ambapo alielezea jinsi ambavyo alikuwa akiwasadia ikiwa ni pamoja na kuwanunulia boda boda 2 kama mtaji na akawaagiza wawe wanatoa mrejesho wa sh 30000 kwa wiki ili kutengeneza mtaji wa vijana wengine wa Arusha LKN vijana hao walitokomea na baadaye wakaibuka kwa mbunge wa viti maalum wa cdm hapa arusha wakiomba wasaidiwe mtaji wa kuuza matunda, mbunge huyo aliwapa sh. 400000. BAADA YA MDA walirejea tena kwa lema wakidai sh 1000000 ya kufanya biashara, MH. LEMA ALIWAKATALIA NA ALIWATAKA WAREJESHE KIASI CHA ZILE FEDHA ZA BODA BODA ILI KUSAIDia VIJANA WENGINE WASIO NA AJIRA KTK JIJI LA ARUSHA, CHA KUSHANGAZA VIJANA HAO WALIPONYIMWA PESA WALIZOKUWA WANAHITAJI KTOKA KWA LEMA WALIANZA KUZUNGUKA MITAANI WAKIMCHAFUA NA HATA KTK MITANDAO YA KIJAMII. KAMA HAITOSHI VIJANA HAO WAWILI WLIVAMIA MKUTANO WA CDM DARAJA 2 SIKU YA IJUMAA TAR. 19/10/2012 KWA LENGO LA KUVURUGA.
Baada ya lema kumaliza maelezo yake pale jukwaani, wananchi walipandwa na jazba na kutaka kuwavamia wale vijana LKN MH. LEMA ALITANGAZA KUWASAMEHE AMBAPO WANANCHI WENYEWE WALIONEKANA KUKATAA MSAMAHA HUO, NDIPO LEMA ALIPOAMURU GARI LAKE KUSOGEZWA KARIBU NA KUWAPAKIZA WALE VIJANA WAWILI ILI KAWAOKOA NA KIPIGO KUTOKA KWA UMATI WA WATU ULIOKUWA UMEPANDWA NA JAZBA KUTOKANA NA KUKERWA NA VIJANA HAO. aidha ktk kuhitimisha msamaha wke kwa vijana hao, LEMA ALIWAPA SH. 20000 KILA MMOJA NA KUWATAKA WAACHE USHAROBARO NA WAJITUME KUFANYA KAZI.
MY TAKE:
Huo ndio ukweli kuhusu tukio lililomuhusisha lema na wale vijana wawili ktk kata ya daraja2 tar.19/10/2012, hivyo wana jamii tuepukane na propaganda za kupindisha habari ikiwemo kumchafua mh. lema. bila sababu ya msingi.