Bin Chuma75
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 990
- 1,040
Habari viongozi, kama kichwa hapo juu, nini inaweza kuwa sababu kutoka damu kwenye maziwa(chuchu) za mwanamke wakati wa kuyanyonya?
NB: hayana vidonda kwa nje, na damu inatokea ndani, na ni damu nzito.
Shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
NB: hayana vidonda kwa nje, na damu inatokea ndani, na ni damu nzito.
Shukran
Sent using Jamii Forums mobile app