Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,034
- 15,751
Acha kujimwambafai mkuu
Sasa nimefanyaje sasaa
Acha kujimwambafai mkuu
Wale wa machame?
bilionea erasto msuya, Dr mengi, yule mwalimu mstaafu alopokea mafao afu mkewe akammaliza nkUkiwa na pesa ukioa kaskazini atakuua tu
Mifano hai ipo mingi tu
uko sahhHata mm nawakubal ila NAWAOGOPA KINYAMAA.Yan duhh siwawez hata robo.Nikiwa chuo nilikua na gfrnd wa kichaga mzur sana na nilimpenda sana na alikua ananipenda mpaka keshoo mwaka wa 6 huu ila moyon nikawa najua kabisa hapa siwez kuji commit hata iwaje...thanks God aliolewa na mm nilishaoa kitambo .na hil likanipa aman atleat sijawawekwa kwe ye kapu la kumharibia maisha.Tuko peace mpaka leo.nawaogopa sana watu wa kanda hii.Sanaaaaaa
Ingetosha tu kusema “ni mfano wa kuigwa” hivyo wanawake wengine waige hizo hustle, ila wao kama wao hawafai kwa matumizi ya ndoa.... uoe demu anakalia mgongo halafu una hofu ya kuaga dunia muda wowote maana yake nini...!!
Mawazo ya kikahaba hayaHawawezi kukosa wote
Nakuona unavyojimwambafai JeiefuSasa nimefanyaje sasaa
Mimi hata sijajimwambafaiNakuona unavyojimwambafai Jeiefu
Ndo maana nakupendagaMimi hata sijajimwambafai
Do ze nidful basi.Ndo maana nakupendaga
Wori autiDo ze nidful basi.
Machame iko Ruvuma, haha ha haaaMachame unajua ilipo mkuu?
Kuna watu mna Dhambi🤒Ingetosha tu kusema “ni mfano wa kuigwa” hivyo wanawake wengine waige hizo hustle, ila wao kama wao hawafai kwa matumizi ya ndoa.... uoe demu anakalia mgongo halafu una hofu ya kuaga dunia muda wowote maana yake nini...!!
Mbona unasahau dada zako aa kimeru, hao pia hawafai kabisa.Ingetosha tu kusema “ni mfano wa kuigwa” hivyo wanawake wengine waige hizo hustle, ila wao kama wao hawafai kwa matumizi ya ndoa.... uoe demu anakalia mgongo halafu una hofu ya kuaga dunia muda wowote maana yake nini...!!
Mkuu woga wako ndio umaskini wako(joking).Hata mm nawakubal ila NAWAOGOPA KINYAMAA.Yan duhh siwawez hata robo.Nikiwa chuo nilikua na gfrnd wa kichaga mzur sana na nilimpenda sana na alikua ananipenda mpaka keshoo mwaka wa 6 huu ila moyon nikawa najua kabisa hapa siwez kuji commit hata iwaje...thanks God aliolewa na mm nilishaoa kitambo .na hil likanipa aman atleat sijawawekwa kwe ye kapu la kumharibia maisha.Tuko peace mpaka leo.nawaogopa sana watu wa kanda hii.Sanaaaaaa