Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,034
- 15,751
Jibu lipo waziKawaulize wenyeji ni nani huwa ana expire kati ya mke au mume
Kwa nini unajimwambafai etiKwann
Mkuu embu tusipangiane humu jei efu.Kwa nini unajimwambafai eti
Mkuu embu tusipangiane humu jei efu.
Yaani mimi ndiyo kila kitu humu jamvini mkuu.
Ila ninakutania hahaha kaone
Sawa bwana, umejua kunitisha ujue!!
Sio kwa kujimwambafai hukoo banaa!
Nipo hapa najipigia makofi. Ila pesa ya mwanaume naitakaaaaWale wa machame?
Hahaha najitutumua
Unajifutua kwenye uzi wa watu!!
Mie nalala sasaNdiyo. Kwani jei efu wanakataza mwambafications on others' threads thereof?
HahahOndoa Wapare