Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Pascal Mayalla,
May be nipo nje ya mada, hivi ccm mle Bungeni ina wabunge wangapi kiasi cha rais kurudia wale wale wale aliowatumbua before? Au wengi wao ni vilaza wenye akili za kukonga meza na kuomba ndiyooo!!!!
May be nipo nje ya mada, hivi ccm mle Bungeni ina wabunge wangapi kiasi cha rais kurudia wale wale wale aliowatumbua before? Au wengi wao ni vilaza wenye akili za kukonga meza na kuomba ndiyooo!!!!