Kutoka Butiama: Exclusive news

..kama ni kutaka kujua kinachoendelea ndani ya BOT basi CCM-NEC inapaswa kumhoji Waziri wa Fedha. Huyo anajulikana kwamba ni mwanachama wa CCM.

..katika mataifa mengi yaliyoendelea Benki Kuu ni chombo kilicho huru. Mtendaji wake huachwa afanye maamuzi kwa maslahi ya nchi bila kuingiliwa na wanasiasa.

..hata kama katiba yetu inatoa mwanya kwa Raisi na CCM kumuingilia gavana ktk maamuzi yake ya kitaalamu, itakuwa vizuri kama CCM[au chama kilichoko madarakani]watajiepusha na kutumia mwanya huo.

..CCM ndiye mid-wife wa demokrasia yetu changa. sasa wakianza ku-behave vibaya wakati wako madarakani wanaweza kusababisha vyama vingine navyo kufuata mkondo ikiwa vitafanikiwa kushika dola.

..leo tukilazimisha gavana wa BOT ahojiwe na CCM-NEC nini kitazuia Jaji Mkuu, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Mkurugenzi wa uchunguzi wa makosa ya jinai, Mwanasheria Mkuu wa serikali, etc etc...kuingiliwa ktk majukumu yao na wanasiasa?

..hekima, busara, na uzalendo, vinapaswa kutuongoza hapa.
 
..kama ni kutaka kujua kinachoendelea ndani ya BOT basi CCM-NEC inapaswa kumhoji Waziri wa Fedha. Huyo anajulikana kwamba ni mwanachama wa CCM.

..katika mataifa mengi yaliyoendelea Benki Kuu ni chombo kilicho huru. Mtendaji wake huachwa afanye maamuzi kwa maslahi ya nchi bila kuingiliwa na wanasiasa.

..hata kama katiba yetu inatoa mwanya kwa Raisi na CCM kumuingilia gavana ktk maamuzi yake ya kitaalamu, itakuwa vizuri kama CCM[au chama kilichoko madarakani]watajiepusha na kutumia mwanya huo.

..CCM ndiye mid-wife wa demokrasia yetu changa. sasa wakianza ku-behave vibaya wakati wako madarakani wanaweza kusababisha vyama vingine navyo kufuata mkondo ikiwa vitafanikiwa kushika dola.

..leo tukilazimisha gavana wa BOT ahojiwe na CCM-NEC nini kitazuia Jaji Mkuu, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Mkurugenzi wa uchunguzi wa makosa ya jinai, Mwanasheria Mkuu wa serikali, etc etc...kuingiliwa ktk majukumu yao na wanasiasa?

..hekima, busara, na uzalendo, vinapaswa kutuongoza hapa.

JokaKuu,

Hii ya CCM kumhoji gavana inatoka wapi? Kilichosemwa ni kama hapa chini.

“Napenda kuwaambia kwamba kabla ya kuanza kwa mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM, wajumbe wote watapata semina kutoka kwa Gavana wa Benki Kuu, lengo likiwa ni kufahamisha wajumbe wetu hali halisi ya uchumi wa taifa letu,” alisema Makamba.

Hizo semina kama hapa UK zinafanywa mara chungu nzima. Gavana anakaribishwa sehemu mbalimbali kutoa semina juu ya mwenendo wa uchumi wa nchi. Sasa hili la CCM kumuita gavana, binafsi sioni kabisa ubaya wake.

Kama wangelikuwa wanataka gavana awe anahudhuria vikao vya CCM, kweli ingelikuwa issue lakini kwenda kutoa semina NEC kuna ubaya gani?

Nafikiri tatizo hapa ni kwamba watu wameshaumwa na nyoka, na sasa tunaogopa hata unyasi. Naelewa lakini inabidi tuwe open minded na kujadili jambo kwa merits zake.
 
Si unajua hata CEO naye kuna board of directors ambao ndio wanahusika na strategic decisions za shirika?

Muhimu ni kuangalia kama system inafanya kazi au la. Haya mambo ya hii imetoka East Europe au wapi sidhani kama yanasaidia kitu. Naamini NEC ni kubwa sana na ni gharama bure kwa CCM. Wangweza kubakiza CC ndio ikawa inatoa mwongozo juu ya mwelekeo wa chama.

Mfano UK, mwenyekiti wa chama ni mjumbe wa baraza la mawaziri. Imagine
kama Msekwa anakuwa pia mjumbe wa baraza la mawaziri akiwa na kazi kuwa kiungo kati ya CCM na serikali, je ungesemaje? Hapo anapata maslahi yote kama wajumbe wengine wa baraza la mawaziri wakati kazi anayofanya ni kulinda maslahi ya chama chake tu.

Kama chama kina utaratibu mbovu, njia ya kuondoa utaratibu huo ni kuwanyima kura.

NEC au CC haiwezi kufananishwa na Board of Directors kwa mtaji tunaoongea.

Ukweli wa mambo Kikwete sio Jasiri kutumia madaraka aliyopewa kuongoza nchi. Kilichopo ni Politburo. http://en.wikipedia.org/wiki/Politburo_of_the_CPSU_Central_Committee
 
Mtanzania,

..gavana wa BOT huwa anatoa taarifa za mara kwa mara juu ya hali ya uchumi kwa wananchi wote. kwanini CCM wanajaribu kujiweka juu ya umma wa tanzania?

..mbona wapo mawaziri wa fedha, viwanda, kilimo, biashara, masoko, ambao ni wajumbe wa CCM-NEC, na ktk ujumla wao wanaweza kuwapa CCM-NEC picha kubwa na nzuri ya uchumi kuliko gavana wa BOT?

..Ukizingatia matatizo ya upotevu wa pesa na CCM kutuhumiwa kuhusika na upotevu huo, nina mashaka makubwa kama gavana anakwenda kutoa "semina" kuhusu uchumi.

..Hii habari ya gavana wa BOT kuhudhuria vikao vya vyama vya siasa havileti picha nzuri hata kidogo. Katika nchi zilizoendelea inaweza kusababisha wawekezaji kupoteza imani na jinsi uchumi unavyoendeshwa.
 
Maadili ama sijaelewa maneno yenu ya kizungu haya ? Nani mwenye maadil pale katika wote walioko Butiama labda Makamu wa rais pekee na hakuna zaidi ya hapo

Hapo umesema kweli kabisa. Labda hata hao CCM wenyewe hawaelewi maana ya Ethics.
 
both know Kamati za Uchumi na Ulinzi za CCM etc etc hazina kazi yoyote..they are irrelevant..

Mkuu heshima mbele, haya ni mawazo yako, sio ya CCM, kamati zote za CCM hufanya kazi na huwasilisha matokeo ya kazi zao kwenye hiki kikao cha NEC, na pia kwenye CC, kwa hiyo hii hoja hapo juu sio kweli.

Mawaziri coz they are from CCM wenyewe huwa wanainform the party when necessary..acha kusoma structure ya party as its supposed to work and fool us kwamba CCM actually follows those procedures...

Again, moja ya kazi kubwa ya mkutano wa NEC, ni kutafakari maoni na mapendekezo ya kamati kuu za CCM, ndio maana mkutano hufanyika wiki nzima au siku tatu, NEC wanayo haki ya kumuita mtendaji yoyote wa serikali ya CCM, the ishu hapa labda iwe wanamuitia nini, au aliyeitwa amekataa kwenda huko, then ingekuwa vyema kuwa na huu mjadala, Lakini the fact kwamba hatujui wanamuitia nini, na yeye amekubali kwenda, basi labda tusubiri kujua walichomuitia kuliko ku-speculate so much negativity,

I mean vijana mnaonekana kuwa mmekata tamaaa kabisaa, no mimi bado, ndio kwanza vijana wengi tunaofanana nao wameingia huko NEC, hilo linanipa moyo sana kuwa kuna mwanga mbele, sasa mimi nilitegemea kuwa hapa JF mahali pa wasomi na wachambuaji wakali wa siasa zetu tutajitokeza kutoa ushauri mzito kwa wajumbe mategemeo yetu huko Butiama, binafsi nilitegemea mawazo hayo tuyapeleke kwa wajumbe hao maana kuna kina Nape, John Mongella, Asha Baraka, Sister Dogo(Visiwani) na wengineo hawa ni washikaji tunaweza kuwatumia ujumbe anytime wakaufikisha huko Butiama, wakishindwa ndio tuwale nyama, lakini vijana mnalia mno hata mkutano wenyewe haujawa, vipi wakuu?

Too much negativity, hebu tujaribu kuangalia on the otherside of the coin, kisiasa bongo tumetoka mbali sana wakuu, leo wabunge wa CCM wanamgomea waziri kupitisha muswaaada wa nishati, Waziri Mkuu anasutwa bungeni mbele ya public na kujiuzulu, I mean Roma haikujengwa kwa siku moja wakuu, hebu tuwe positive angalau kidogo, tuwapoe nafasi wajumbe wajiweke sawa na tuwape mawazo, mimi ninayakaribisha na ninaaahidi nitayafikisha as always do, lakini so far we are not offering anything positive kwa wajumbe wetu.

Tuwape nafasi wakuu!
 
taratibu ulijuaje kama halisi brother?

naam mambo yameanza na mara hii tena ccm imewapa kitendawili watanzania hakuna anaweza kutabiri nn kitatokea.


ccm ni chama pekee mpaka sasa kilichoonesha demokrasia ya kweli]
chama ambacho viongozi wao wako tayari kuwajibika kwa wanayoyafanya na kuwajibishana.

ni chama ambacho kiko tayari kukosolewa, kusoma kutoka kwa wengine,kwenda na wakati na kujipanga upya kuendana na mahitaji ya jamii.


ccm chama changu na daima nitakipenda

kidumu chama cha mapinduzi

Hapo kidogo naona mdomo umekuteleza,CCM hakuna hata mmoja ambae ameondoka bila ya shinikizo la nguvu ,toka kila pembe ya dunia ,hao walioachia ngazi wote wamepewa tahazari waondoke wenyewe au wataumbuliwa na mambo kuwa makubwa zaidi.
Tusidanganyane kwa kusema wameondoka au kujiuzulu bila ya kushinikizwa ,nikimaanisha habari zikitangaa mitaani na kufikia magazetini hakuhitajii kuundiwa tume na na uchunguzi ,kiongozi anaesikia na kuona magazetini na kuvuma kila kona ,huyo hangojei tena ziundwe tume anachotakiwa ni kuandika open barua kwa Raisi na kutangaza redioni na kuonekana magazetini kwamba amejiuzulu au ameomba kujiuzulu.Kama jambo ni lakweli inatakiwa ajiuzulu bila hata ya kuoma kujiuzulu kama ana wasiwasi na pengine jambo halina ukweli hapo itabidi aandike barua ya kuomba ,ili kama anaweza kusafishika kupitia chombo husika ,azuiwe kujiuzulu.
 
Basically hakuna any fundamental problem ya Gavana kuitwa kwenye kikao cha CCM (Mind you kuitwa, siyo kulala nao mpaka anapoteza professional integrity yote na any moral standing)

My thing is awe na equal access kwa wote, kesho CHADEMA wakitaka kumuita na kumhoji kuhusu EPA aweze kwenda kwenye mkutano wa CHADEMA na kujibu maswali kama alivyoenda CCM, kama CHADEMA wanahitaji access na document fulani za serikali wapatiwe kama wanavyopatiwa CCM. Kama documents ziko classified basi hata CCM nao wasipate,kama CCM wanaomba hela za kampeni BOT basi hata CHADEMA nao waweze kupata vile vile.Kama ni mwiko kuomba pesa za kampeni BOT basi wote CCM na CHADEMA wasiweze kupata hela.

Sio tunakuwa na double standards, huku CCM wana rules zao na vyama vingine vina rules zao.

My fear ni kwamba CCM ina abuse position kama ruling party kupata undue advantage na access ya BOT.Kuanzia election funds mpaka access na governor.It should not be like that.
 
..kama ni kutaka kujua kinachoendelea ndani ya BOT basi CCM-NEC inapaswa kumhoji Waziri wa Fedha. Huyo anajulikana kwamba ni mwanachama wa CCM.

..katika mataifa mengi yaliyoendelea Benki Kuu ni chombo kilicho huru. Mtendaji wake huachwa afanye maamuzi kwa maslahi ya nchi bila kuingiliwa na wanasiasa.

..hata kama katiba yetu inatoa mwanya kwa Raisi na CCM kumuingilia gavana ktk maamuzi yake ya kitaalamu, itakuwa vizuri kama CCM[au chama kilichoko madarakani]watajiepusha na kutumia mwanya huo.

..CCM ndiye mid-wife wa demokrasia yetu changa. sasa wakianza ku-behave vibaya wakati wako madarakani wanaweza kusababisha vyama vingine navyo kufuata mkondo ikiwa vitafanikiwa kushika dola.

..leo tukilazimisha gavana wa BOT ahojiwe na CCM-NEC nini kitazuia Jaji Mkuu, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Mkurugenzi wa uchunguzi wa makosa ya jinai, Mwanasheria Mkuu wa serikali, etc etc...kuingiliwa ktk majukumu yao na wanasiasa?

..hekima, busara, na uzalendo, vinapaswa kutuongoza hapa.

Kwanza nadhani kuna usanii mkubwa CCM wanafanya .Wamebanwa sasa wanataka pa kutokea .Pili siamini kwamba JK na NEC wako sincere juu ya hali halisi ya pesa za Watanzania na yanayo tokea ndani BOT .So wacha nisikilize nini watasema baada ya NEC
 
Mkuu heshima mbele, haya ni mawazo yako, sio ya CCM, kamati zote za CCM hufanya kazi na huwasilisha matokeo ya kazi zao kwenye hiki kikao cha NEC, na pia kwenye CC, kwa hiyo hii hoja hapo juu sio kweli.



Again, moja ya kazi kubwa ya mkutano wa NEC, ni kutafakari maoni na mapendekezo ya kamati kuu za CCM, ndio maana mkutano hufanyika wiki nzima au siku tatu, NEC wanayo haki ya kumuita mtendaji yoyote wa serikali ya CCM, the ishu hapa labda iwe wanamuitia nini, au aliyeitwa amekataa kwenda huko, then ingekuwa vyema kuwa na huu mjadala, Lakini the fact kwamba hatujui wanamuitia nini, na yeye amekubali kwenda, basi labda tusubiri kujua walichomuitia kuliko ku-speculate so much negativity,

I mean vijana mnaonekana kuwa mmekata tamaaa kabisaa, no mimi bado, ndio kwanza vijana wengi tunaofanana nao wameingia huko NEC, hilo linanipa moyo sana kuwa kuna mwanga mbele, sasa mimi nilitegemea kuwa hapa JF mahali pa wasomi na wachambuaji wakali wa siasa zetu tutajitokeza kutoa ushauri mzito kwa wajumbe mategemeo yetu huko Butiama, binafsi nilitegemea mawazo hayo tuyapeleke kwa wajumbe hao maana kuna kina Nape, John Mongella, Asha Baraka, Sister Dogo(Visiwani) na wengineo hawa ni washikaji tunaweza kuwatumia ujumbe anytime wakaufikisha huko Butiama, wakishindwa ndio tuwale nyama, lakini vijana mnalia mno hata mkutano wenyewe haujawa, vipi wakuu?

Too much negativity, hebu tujaribu kuangalia on the otherside of the coin, kisiasa bongo tumetoka mbali sana wakuu, leo wabunge wa CCM wanamgomea waziri kupitisha muswaaada wa nishati, Waziri Mkuu anasutwa bungeni mbele ya public na kujiuzulu, I mean Roma haikujengwa kwa siku moja wakuu, hebu tuwe positive angalau kidogo, tuwapoe nafasi wajumbe wajiweke sawa na tuwape mawazo, mimi ninayakaribisha na ninaaahidi nitayafikisha as always do, lakini so far we are not offering anything positive kwa wajumbe wetu.

Tuwape nafasi wakuu!

I see where you are coming from but no sitawapa wajumbe mda kujiweka sawa..sisi wanafunzi tukifail assignments we are given one chance to resit or drop out..Hao CCM wameresit mara ngapi? Nimesoma mahala kwamba Mo wa mohamed enterprises spends over a billion katika jimbo lake from his own doe na maendeleo yanaonekana sasa ..nani alikuwa hapo before him? Unataka kuniambia serikali imeshindwa kazi tu privatise mpaka majimbo ndo tuone maendeleo?? Im sorry but i will not support these fools...wameshasahau why they are there? Not in our interest!!
 
Basically hakuna any fundamental problem ya Gavana kuitwa kwenye kikao cha CCM (Mind you kuitwa, siyo kulala nao mpaka anapoteza professional integrity yote na any moral standing)

My thing is awe na equal access kwa wote, kesho CHADEMA wakitaka kumuita na kumhoji kuhusu EPA aweze kwenda kwenye mkutano wa CHADEMA na kujibu maswali kama alivyoenda CCM, kama CHADEMA wanahitaji access na document fulani za serikali wapatiwe kama wanavyopatiwa CCM. Kama documents ziko classified basi hata CCM nao wasipate,kama CCM wanaomba hela za kampeni BOT basi hata CHADEMA nao waweze kupata vile vile.Kama ni mwiko kuomba pesa za kampeni BOT basi wote CCM na CHADEMA wasiweze kupata hela.

Sio tunakuwa na double standards, huku CCM wana rules zao na vyama vingine vina rules zao.

My fear ni kwamba CCM ina abuse position kama ruling party kupata undue advantage na access ya BOT.Kuanzia election funds mpaka access na governor.It should not be like that.

Maneno haya CCM wakiyasikia na yakawaingia naamini watawatumia usalama wa Taifa kukutafuta maana unawaamsha watu walio kuwa wamelala.CCM hawatapenda kabisa kusikia lolote kuhusiana na gavana wao kuitwa Chadema .
 
Mkuu wajumbe wa NEC, sio wabunge, mimi ninawapa nafasi maana walipochaguliwa tu walimg'oa Kingunge, wakamg'oa Rita mlaki, sasa huu ni mkutano wa pili wanashiriki, tunahitaji kuwapa ushauri wa tunachotegemea kutoka kwao kwenye huo mkutano, ndio maana jana nilipata nguvu sana na ushauri wa Mwafrika Wa Kike, kwenye ile thread yake, na ninamuhakikishia kuwa leo nimeufikisha ule ujumbe kama ulivyo kila ulipotakiwa, sasa kazi kwao wasuke au wanyoe,

Halafu, mkuu kuwaita viongozi wetu fools, maana yake kisiasa ni moja tu nayo ni kwamba sisi tuliowachagua ni fools zaidi yao, kwa hiyo please jaribu kurekebisha hiyo lugha, sio lazima unapotaka kueleweka hapa.

Again tujiunge kuwaombea na kuwatakia mkutano mwema, viongozi wetu, maana it is okay with God.
 
Licha ya viongozi kadhaa wa CCM kuwahakikishia wananchi kuwa kikao cha NEC kinachoanza masaa machache yajao ni cha kawaida, hata hivyo dalili zote zinaonesha kuwa mkutano huu unaweza kuleta mshtuko wa moyo na tabasamu kwa wananchi.

Vyanzo vya kuaminika karibu na vyumba vya waheshimiwa vigogo wa CCM vimeiambia KLHN kuwa mood ya watu ni kama joto hasa baada ya wajumbe wa Kamati Kuu kupewa nyaraka kadhaa kuzipita na kutokana na uzito wa yaliyomo kwenye nyaraka hizo imeonekana Kamati Kuu itaendelea na kikao chake mapema asubuhi na hivyo kusogeza mbele kuanza kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa.

Mojawapo ya vitu ambavyo yawezekana kutokea mapema kabla ya mkutano wa NEC kuanza ni baadhi ya wajumbe kuchukua maamuzi ya kuamua kujiuzulu toka Kamati Kuu/Halmashauri Kuu ya Taifa na hata kutangaza kuachia nafasi zao za kisiasa. Kama hili litatokea basi wajumbe hao hao waweza kufanya hivyo ili kuwahi (preemptying) maamuzi ya Halmashauri Kuu ya Taifa siku ya Jumapili.

Hadi hivi sasa kuna wajumbe kadhaa ambao wanaonekana kuwa na mashaka juu ya hatima yao licha ya kuhakikishiwa kuwa huu ni mkutano wa kawaida.

Vyovyote itakavyokuwa, kuna kila dalili kuwa kikao hiki hakina "chembe" ya ukawaida huku watu wa Agenda 21 wakijiandaa to make their move like on a chess board. Hata hivyo haijajulikana kama Mwenyekiti wa Chama anashikilia siri gani na kama atatumia kadi ya "Mizengwe".

Hadi hivi sasa wajumbe wengi wameshafika na wachache waliosalia wanatarajiwa kufika usikuu huu au mapema asubuhi ukiondoa wale ambao kutokana na maradhi wameshindwa kusafiri.

Kwa mujibu wa Katiba ya CCM - Ibara ya 108

Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa
zitakuwa zifuatazo:-
(1) Kutoa uongozi wa Siasa ya CCM kwa
jumla kwa Tanzania nzima.
Kwa hiyo
itakuwa na uwezo wa kubuni, kujadili,
kuamua na kutoa Miongozo ya Siasa ya
CCM katika mambo mbalimbali.
(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM,
kuongoza mafunzo ya Siasa ya CCM na
kukuza nadharia na Itikadi ya CCM ya
Ujamaa na Kujitegemea.
(3) Kuongoza na kusimamia ujezi wa Ujamaa
na Kujitegemea nchini.

(4) Kuandaa Ilani ya CCM ya Uchaguzi na
kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilani
hiyo.
(5) Kufikisha maazimio na maagizo ya CCM
katika Mikoa na kufikiria na kutoa uamuzi
juu ya mapendekezo kutoka vikao vya
CCM vya chini.
(6) Kuona kwamba shughuli za Maendeleo
na za Ulinzi na Usalama wa Taifa
zinazingatiwa.
(7) Kuandaa mikakati na mbinu za kampeni za
uchaguzi na kampeni nyinginezo za kitaifa.
(8) Kudumisha uangalizi juu ya vitendo vya
Wanachama na Viongozi wa CCM na
endapo itadhihirika kwamba tabia na
mwenendo wa Mwanachama fulani
vinamwondolea sifa za Uanachama au
Uongozi itakuwa na uwezo wa kumwachisha
au kumfukuza Uanachama au Uongozi alio
nao.
Kuhusu mtu aliyeachishwa au
kufukuzwa Uanachama, Halmashauri Kuu ya
CCM ya Taifa ndiyo itakayokuwa na uwezo
wa mwisho wa kumrudishia Uanachama
wake kwa mujibu wa Katiba, endapo
itaridhika kuwa amejirekebisha.
(9) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCM za
Mikoa kuhusu vitendo na njia zinazofaa
za kuimarisha CCM na za kuleta
maendeleo.
(10) Kuandaa Katiba, Kanuni na kuweka
taratibu za kuongoza shughuli mbalimbali
za CCM.
(11) Kuandaa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa
(12) Kuteua Makatibu wa CCM wa Mikoa.....

(22) Kumwachisha au kumfukuza Uongozi
kiongozi yeyote ambaye uteuzi wake wa
mwisho ulifanywa na Halmashauri Kuu ya
CCM ya Taifa.
 
Kwa mujibu wa Katiba ya CCM - Ibara ya 108

Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa
zitakuwa zifuatazo:-
(1) Kutoa uongozi wa Siasa ya CCM kwa
jumla kwa Tanzania nzima.
Kwa hiyo
itakuwa na uwezo wa kubuni, kujadili,
kuamua na kutoa Miongozo ya Siasa ya
CCM katika mambo mbalimbali.
(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM,
kuongoza mafunzo ya Siasa ya CCM na
kukuza nadharia na Itikadi ya CCM ya
Ujamaa na Kujitegemea.
(3) Kuongoza na kusimamia ujezi wa Ujamaa
na Kujitegemea nchini.

(4) Kuandaa Ilani ya CCM ya Uchaguzi na
kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilani
hiyo.
(5) Kufikisha maazimio na maagizo ya CCM
katika Mikoa na kufikiria na kutoa uamuzi
juu ya mapendekezo kutoka vikao vya
CCM vya chini.
(6) Kuona kwamba shughuli za Maendeleo
na za Ulinzi na Usalama wa Taifa
zinazingatiwa.
(7) Kuandaa mikakati na mbinu za kampeni za
uchaguzi na kampeni nyinginezo za kitaifa.
(8) Kudumisha uangalizi juu ya vitendo vya
Wanachama na Viongozi wa CCM na
endapo itadhihirika kwamba tabia na
mwenendo wa Mwanachama fulani
vinamwondolea sifa za Uanachama au
Uongozi itakuwa na uwezo wa kumwachisha
au kumfukuza Uanachama au Uongozi alio
nao.
Kuhusu mtu aliyeachishwa au
kufukuzwa Uanachama, Halmashauri Kuu ya
CCM ya Taifa ndiyo itakayokuwa na uwezo
wa mwisho wa kumrudishia Uanachama
wake kwa mujibu wa Katiba, endapo
itaridhika kuwa amejirekebisha.
(9) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCM za
Mikoa kuhusu vitendo na njia zinazofaa
za kuimarisha CCM na za kuleta
maendeleo.
(10) Kuandaa Katiba, Kanuni na kuweka
taratibu za kuongoza shughuli mbalimbali
za CCM.
(11) Kuandaa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa
(12) Kuteua Makatibu wa CCM wa Mikoa.....

(22) Kumwachisha au kumfukuza Uongozi
kiongozi yeyote ambaye uteuzi wake wa
mwisho ulifanywa na Halmashauri Kuu ya
CCM ya Taifa.

Yetu masikio, kama watatekeleza majukumu yao...Nimenote kitu cha ziada hapa mkuu,uchama dola wa ccm,yaani hata sasa ccm ndio msimamizi wa shughuli za usalama wa Taifa ndani ya mfumo wa vyama vingi!!!! na je siku kisipokuwa chama tawala NEC itaendelea kuwa na jukumu hilo?
 
butiama%252B1.jpg

Vigogo chama tawala Tanzania( CCM) wakiweka mataji ya maua katika kaburi la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, nyumbani kwake Mwitongo, Butiama kabla ya kuanza mkutano wao.

Chama kimejaa mafisadi ambao Mwalimu angekuwa hai angewasemea hovyo, leo wanajifanya eti wanaenda kutoa heshima zao kwenye kaburi la Mwalimu. Wana heshima gani hawa kwa Mwalimu! wakati wanafanya tofauti na Mwalimu alivyokuwa kama kiongozi ambaye alikuwa na maadili na wala hakuwa na tamaa ya utajiri au kuishi maisha ya fahari kubwa kuliko wale aliotuongoza. CCM acheni unafiki na usanii wenu
 
Mimi kwa maoni yangu kama hakuna atakayefukuzwa Chama basi itakuwa ni usanii tu. Tumeona juzi juzi tu akina Msabaha na Lowassa waliojizulu baada ya kuhusika kwa karibu kabisa na kashfa ta Richmonduli hata kabla ya mwezi kukatika wakaingizwa kwenye kamati za juu za Bunge. Huu naona utakuwa ni usanii tu, hakuna jipya. Tusubiri tuone.
 
sidhani kama waliweka maua kwa sababu wao ni ccm, nadhani waliweka maua kwa sababu ya utanzania wao, je akienda kuweka shada la maua MNYIKA, wengine tuseme ebu tazama unafiki wa chadema ?
Nakubali kwamba kuna wajinga ndani ya ccm ambao pia ni mafisadi, lakini sio wote wapo hivyo !So,
Kwa hapo nadhani unawaonea babu !
 
sidhani kama waliweka maua kwa sababu wao ni ccm, nadhani waliweka maua kwa sababu ya utanzania wao, je akienda kuweka shada la maua MNYIKA, wengine tuseme ebu tazama unafiki wa chadema ?
Nakubali kwamba kuna wajinga ndani ya ccm ambao pia ni mafisadi, lakini sio wote wapo hivyo !So,
Kwa hapo nadhani unawaonea babu !

Kama kweli walikuwa na nia ya kuweka maua katika kaburi la Mwalimu, kwanini wasubiri mpaka kikao cha kamati kuu? Utanzania wao wanaokumbuka kunapokuwa na kikao cha kamati kuu tu !? Mara ya mwisho waliweka maua katika kaburi hilo ilikuwa lini? Hiyo ni picture opportunity tu wakimaliza kikao hicho wanaendeleza ufisadi kama kazi.

Kama marehemu wangekuwa wanasema Mwalimu angewafukuzilia mbali kwa unafiki wao kwa sababu Mwalimu alikuwa mkweli na alikuwa hamkopeshi mtu muulize Lowassa au Aboud Jumbe.
 
Nakubali kwamba kuna wajinga ndani ya ccm ambao pia ni mafisadi, lakini sio wote wapo hivyo !So,
Kwa hapo nadhani unawaonea babu !

CCM ni sawa na nyumba iliyojaa wadudu, na mbaya zaidi mwenye nyumba anaamini wadudu hao wataruka na kuondoka wenyewe!! Kwa mtaji huo kila kukicha wanazidi kuzaliana ...
 
sidhani kama waliweka maua kwa sababu wao ni ccm, nadhani waliweka maua kwa sababu ya utanzania wao, je akienda kuweka shada la maua MNYIKA, wengine tuseme ebu tazama unafiki wa chadema ?
Nakubali kwamba kuna wajinga ndani ya ccm ambao pia ni mafisadi, lakini sio wote wapo hivyo !So,
Kwa hapo nadhani unawaonea babu !

I waited for a long time for this kind of contribution from you. Welcome back Kada!
 
Back
Top Bottom