Kutoka Butiama: Exclusive news

Hakuna sababu yeyote inayoweza halalisha kumpeleka Gavana katika kikao chochote cha chama chochote.Huu ni uhuni usio na akili. Sina tatizo kama Ndulu atakuwa anakwenda Butiama kwa kuwa ni mwana NEC.Ni vizuri CCM wakajifunza kutofautisha mambo ya Serikali na Chama hata kama wao ndo chama tawala.Hawana uhalali wa kumhoji Ndulu kama Gavana wala Meghji kama waziri wa fedha.
 
Mkuu Nyangumi,

Ninakuheshimu kuwa ni kichwa, Gavana wa BOT na waziri wa hazina ni watekelezaji wa sera za CCM on uchumi side, nashangaa sana kuwa ulikuwa hulijui hilo, maana ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa wabunge na rais, maana yake ni moja tu nayo ni CCM kuwa na mandate ya wananchi kutekeleza sera walizoziahidi kwenye kampeni, sasa sera hizo zitatekelezwa na nani? Rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM, akiwatumia wasaidizi wake wanaotambulika kisheria, who are they? ni pamoja na waziri wa hazina pamoja gavana wa BOT, sera za CCM zinatengenezwa na nani NEC,

Sasa kweli unasema kumuita gavana na waziri wa hazina NEC, ambao ndio watengenezaji wa sera zetu za taifa ni uhuni na ukosefu wa akili? are you serious? Maana nina wasi wasi watu wenye akili nyingi wakiisoma hii topic watashindwa kuelewa exactly nani mwenye uhuni na ukosefu wa akili mkuu,

Halafu, hivi ni kweli ilibidi utumie haya maneno very low kuwa-describe NEC ambao wameamua kuwaita watekelezaji wa sera zao kwa taifa?

I am very dis-appointed mkuu!
 
Heshima Mzee:

Lakini hapa unachemsha. Watumishi wa serikali ambao nafasi zao sio za kisiasa hawatakiwi kuwapo kwenye mikutano ya vyama.
Kama sera za chama chenu ni za uchumi, mnaweza kufanya hivyo kwa kumwita waziri wa fedha na manaibu zake au kumwita waziri wa miundo mbiu za mikoa kwa sababu hao wanashikiria nafasi za kisiasa na ni wanachama wa CCM. Masuala ya ulinzi na usalama ni muhimu. Kwanini basi mkuu wa majeshi ya ulinzi au Inspector mkuu wa polisi asiende huko. Vilevile Tanzania ina matatizo ya njaa, kwani mabwana shamba hawapo kwenye kikao hicho? Wanasiasa ni lazima mkubali kuwa kazi zingine ni professions ambazo hazitakiwi kuingiliwa kisiasa.

Mkuu wangu, kwanza ninataka kuamini kuwa wewe ni mbongo mwenzangu, maana haiwezekani ukawa mbongo ukashindwa kujua kuwa kustaafu mapema kwa Mahita, ex-Police Chief, hoja ilianzia NEC na baadaye CC, kwamba Mbilinyi waziri wa zamani wa hazina hoja ya kumpuzisha ilianzia NEC, kwamba majuzi kujiuzulu kwa Lowassa na mawaziri watatu, hoja zimetokea NEC na CC, I mean kamati ya CCM ya ulinzi na usalama kazi yake ni nini? kamati ya uchumi ya CCM kazi yake ni nini?

Ni pamoja na kufuatilia ishus za uchumi za taifa, kukutana na gavana na waziri at their call, kwa hiyo kama kuna ishu wanatakiwa kuifikisha kwenye NEC, ni lazima wawaite waziri na gavana, ili kuwasilisha their side of the professional story inayowakilishwa na kamati kwa NEC, bunge hufanya hivyo pia kumbuka kuwa hiyo professional Nduulu ameipata baada ya kuchaguliwa na rais, ambaye ni mwenyekiti wa CCM, ambaye taifa tumempa nafasi kisheria kutekeleza sera za CCM, ikiwa ni pamoja na sekta ya uchumi,

Hivi kweli haya yanahitaji kuwa professor kuelewa, hivi mkuu kweli unaaamini kuwa mkuu wa majeshi na wa polisi sasa hivi hawako Butiama tayari!
 
..watu wa musoma wako tofauti kabisa.

Hawa watu wa Musoma walikuwa wanampinga hata Mwalimu uso kwa macho na Mwalimu alilijua hili.Sasa JK na Serikalo ndiyo haipendwi kabisa hapa mkoani ila wana wapambe na wanatumia mabavu ndiyo unaona CCM wapo lakini ukweli ni kwamba watu hawaitaki CCM hapa Musoma .
 
Hawa watu wa Musoma walikuwa wanampinga hata Mwalimu uso kwa macho na Mwalimu alilijua hili.Sasa JK na Serikalo ndiyo haipendwi kabisa hapa mkoani ila wana wapambe na wanatumia mabavu ndiyo unaona CCM wapo lakini ukweli ni kwamba watu hawaitaki CCM hapa Musoma .

Huenda ni kwa sababu ya ukaribu wao na Kenya. Makabila yaliyoko Nyanza yapo pia huko Mara. Tumeona jinsi wakenya wasivyokuwa na mambo ya 'ndio' mkubwa kila mara, au kuwa na unafiki tunaouonyesha sisi kila mara.

Ni rahisi pia huko kutoana roho kama hamkubaliani.
 
Killuminati,

Tatizo hapa ni watu kuwa na wasiwasi na kila jambo ambalo CCM wanafanya.

Idea yenyewe sio mbaya, hao NEC ndio wanapango mipango ambayo serikali ya CCM inatekeleza, kupigwa lecture na prof. Ndullu linaweza kuwa jambo zuri, of course kama wako tayari kusikiliza.

Hivyo hivyo hata CHADEMA au chama kingine wanaweza kumwita kwenye mkutano wao kama wanataka kujua hali ya uchumi na kumwuliza maswali juu ya mwenendo wa uchumi wetu.

Wenzetu walioendelea wana mikutano na gavana mingi tu kuanzia wasomi, wafanyabiashara, wabunge mpaka wanasiasa wengine.

Idea sio mbaya, labda tupinge kwasababu hatuamini CCM wataitumia vizuri hiyo
taarifa.

Labda sasa CHADEMA au chama kingine nao kama wanataka lecture ya prof. wafanye hivyo na kama atakataa bila sababu, hapo tunaweza kuifanya kuwa issue, vinginevyo tunachopinga ni kama CCM walivyopinga innovation ya Mbowe ya kukampeni kwa helikopta, baada ya muda na wao wakajiona wajinga na kuanza kutumia helikopta.

Mtanzania,

Kama NEC igekuwa huru a Bunge ningeelewa nia ya kuitwa Ndulu huku Butiama. Lakini baraza la mawaziri, karibu 60% ya wabunge wa CCM, wote hawa ni wanachama wa NEC na CC, hivyo suali ni kitu gani kipya atakachofundisha ambacho wao walipaswa kumhoji waziri wao wa fedha?

Mazingira ya Tanzania sasa hivi na hasa kutokana na Uhujumu wa EPA ambao unasadikika kuwa CCM ndiyo mvunaji mkubwa au mtuhumiwa wa uhujumu, unafanya kila mtu atilie mashaka mwaliko huu. Je Ndulu anaenda kufundwa, kunyamazishwa au kupewa mikakati mipya ya Saidia CCM ishinde 2010?

Ikiwa ni vigumu kwa Bunge kupata habari kamili za utendaji wa Serikali na mwelekeo sahihi wa uchumi, je ni vipi CCM iwe na nafasi ya Kwanza na si Bunge?
 
Kama alivyosema Mchungaji Kishoka hapo, wasiwasi wa watu ni hii coincidence ya mjadala wa report ya EPA na kuitwa kwa Prof. Ndulu. Siku hizi watu wana-suspect kila kitu, zamani tulikuwa tunaona na kuacha lakini baada ya maovu kuwekwa hadharani watu wamegundua kuna uozo mwingi sana na hivyo kila kinachofanyika lazima mtu ajiulize mara mbili.

Kumbukumbu yangu ya vikao vya NEC sijawahi kusikia Gavana kaitwa Dodoma kwenda kuwafunda wana NEC somo la uchumi na mwenendo wa uchumi wa nchi. Dr. Rashid alikaa miaka 5 hakuwahi kuitwa Dodoma, Ballali amekaa miaka 9 hatukuwahi kusikia kaitwa Dodoma. Leo hii Prof. Ndulu anapoitwa kwenda Musoma lazima watu tushangae na kujiuliza kulikoni huko Musoma? Kuna agenda ipi ambayo imewa-prompt CCM kumuita Mtunza Kihenge chetu?

Ukienda mbali zaidi, recently, Prof. Ndulu ametoa matamko mawili ambayo yameonysha wazi kwamba kuna matata hapo BoT na kwamba aidha ameishaanza kuwa mwanasiasa na hivyo uchumi halisi ameuweka kando au ameanza kunyamazishwa ili asije akamwaga mtama kwenye kuku na hivyo kuwaumbua CCM.

Kwanza alisema BoT itajitoa kwenye mambo ambayo yanatakiwa kusimamiwa na serikali ili kuepuka "political pressure". Kauli hiyo ukiichunguza kwa undani ina mambo mengi sana ndani yake na si ajabu baada ya kupitia mafaili aliyoyakuta amekuta vitu vya ajabu ambavyo anaona kabisa vinaweza kumfanya awe Ballali very soon hasa kwa kuwa watu sasa wako macho zaidi ukilinganisha na zama za utawala wa kibabe wa Mzee wa Ukweli na Uwazi na kumbe alikuwa ni msiri na mtafuna nchi bila huruma yoyote.

Pili, ametoa kauli kwamba shilingi ya Tanzania imeimarika. Kigezo chake ilikuwa dollar ya Marekani ambayo dunia nzima tunajua kwamba imeyumba/inaporomoka ukilinganisha na Euro/Paundi na fedha nyingine za mataifa ya dunia ya kwanza. What was the motive behind such a statement kama siyo siasa? Hapa ndipo watu wanazidi kupata mashaka zaidi.

Kwa kumalizia Prof. Ndulu aliahidi kufanya kazi kwa uwazi na kwamba wanahabari wangepata full access ya information wanazozihitaji. Recently, alimaka kwamba hawezi kuwa anasema kila kitu, lakini akawa amesahau kwamba alipoingia ofisini alifanya kazi kwa kutumia magazeti hayo hayo na akawa kwenye front pages za magazeti kwa karibu mwezi mzima au zaidi. Je, kimetokea nini ambacho kimemfanya awe mzito wa kusema kila kitu???
 
Mkuu Nyangumi,

Ninakuheshimu kuwa ni kichwa, Gavana wa BOT na waziri wa hazina ni watekelezaji wa sera za CCM on uchumi side, nashangaa sana kuwa ulikuwa hulijui hilo, maana ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa wabunge na rais, maana yake ni moja tu nayo ni CCM kuwa na mandate ya wananchi kutekeleza sera walizoziahidi kwenye kampeni, sasa sera hizo zitatekelezwa na nani? Rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM, akiwatumia wasaidizi wake wanaotambulika kisheria, who are they? ni pamoja na waziri wa hazina pamoja gavana wa BOT, sera za CCM zinatengenezwa na nani NEC,

Sasa kweli unasema kumuita gavana na waziri wa hazina NEC, ambao ndio watengenezaji wa sera zetu za taifa ni uhuni na ukosefu wa akili? are you serious? Maana nina wasi wasi watu wenye akili nyingi wakiisoma hii topic watashindwa kuelewa exactly nani mwenye uhuni na ukosefu wa akili mkuu,

Halafu, hivi ni kweli ilibidi utumie haya maneno very low kuwa-describe NEC ambao wameamua kuwaita watekelezaji wa sera zao kwa taifa?

I am very dis-appointed mkuu!

Mkuu,
Suala la wewe kuwa disappointed na mimi hilo ni kwa kweli sina controol nalo.

Napenda tu kukuuliza JK atahudhuria kikao hicho kama Rais au kama Mjumbe kwa mujibu wa nafasi yake(mwenyekiti)?

Chama kinaposhinda uchaguzi kinaunda serikali ila sio chama kinakuwa serikali. Pamoja na kupewa mandate ya kutekeleza sera zao ni lazima wafuate tararibu za serikali katika kutekeleza sera hizo ila siyo kutumia taratibu za chama kutekeleza mambo ya serikali.
Una kichwa kizuri lakini kuna baadhi ya mambo nashindwa kuelewa kwanini yanakuwa magumu kwako. Ndani ya katiba ya CCM hakuna sehemu inayozungumzia nafasi ya Waziri yeyote au Gavana.Hawa sio watendaji wa Chama na hawawajibiki kwa chama as Gavana au Waziri.Gavana anapofanya madudu Kikwete kama mwenyekiti hana mamlaka yeyote ya kumwajibisha.Meghji kama waziri wa fedha akifanya madudu JK kama mwenyekiti hana mamlaka yeyote ya kumwajibisha.Pamoja na kuwa ndo mkuu wa chama kilichopo madarakani ni lazima awashughulikie kama Rais na si kama mwenyekiti wa CCM.Hapo naona ndo utaelewa tofauti iliyopo.Sasa haina maana kuwa madarakani ni kufanya chochote wanachotaka.Kutoelewa haya ndo kumetufikisha hapa tulipo. Watu wanaingia BOT na kuchukuwa pesa kwa kuwa ni chama tawala.
Once JK alipokuwa Waziri wa pesa aliwahi kataa kuidhinisha CCM kuchukua pesa toka hazina kwa ajili ya kugharamia kikao.
 
Mtanzania,

Kama NEC igekuwa huru a Bunge ningeelewa nia ya kuitwa Ndulu huku Butiama. Lakini baraza la mawaziri, karibu 60% ya wabunge wa CCM, wote hawa ni wanachama wa NEC na CC, hivyo suali ni kitu gani kipya atakachofundisha ambacho wao walipaswa kumhoji waziri wao wa fedha?

Mazingira ya Tanzania sasa hivi na hasa kutokana na Uhujumu wa EPA ambao unasadikika kuwa CCM ndiyo mvunaji mkubwa au mtuhumiwa wa uhujumu, unafanya kila mtu atilie mashaka mwaliko huu. Je Ndulu anaenda kufundwa, kunyamazishwa au kupewa mikakati mipya ya Saidia CCM ishinde 2010?

Ikiwa ni vigumu kwa Bunge kupata habari kamili za utendaji wa Serikali na mwelekeo sahihi wa uchumi, je ni vipi CCM iwe na nafasi ya Kwanza na si Bunge?

Rev. Kishoka,

Naona watu mnatanguliza hasira badala ya kufikiri kwa makini.

Hivi CCM kama wanataka kumfunda Prof. Ndullu kweli wanahitaji kuitangazia dunia nzima? Si wangemwita tu Ikulu na kujaribu kumwambia wanachotaka?

Labda kwa nyumbani ni kitu cha ajabu lakini katika mizunguko yangu ya maisha, sioni ajabu yoyote kwa gavana kuitwa kwenda kutoa lecture au semina kwenye chama cha siasa, jumuia za wasomi au hata jumuia za kibiashara.

Binafsi sijui CCM wanataka kupata lecture kwenye nini lakini sioni kama jambo la ajabu. Ni afadhali wametutangazia wote na tumejua kuliko walivyokuwa wanamfuata Ballali kimya kimya.

NEC ndio watunzi wa sera ambazo serikali ya CCM inatekeleza, uchumi ndio
nguzo kuu katika sera za nchi yoyote ile, kwahiyo kupigwa lecture huko kama kukitumiwa vizuri kunaweza kuwa na faida kwa nchi.

Hata vyama vingine vinaweza kukutana na gavana. Bahati mbaya vyama vyetu karibu vyote, havina sera za kichumi na vyote vinatumia muda mwingi kwenye malumbano bnadala ya kusema watafanya nini kwenye utawala wao.
 
Naona watu mnatanguliza hasira badala ya kufikiri kwa makini.

Hivi CCM kama wanataka kumfunda Prof. Ndullu kweli wanahitaji kuitangazia dunia nzima? Si wangemwita tu Ikulu na kujaribu kumwambia wanachotaka? Labda kwa nyumbani ni kitu cha ajabu lakini katika mizunguko yangu ya maisha, sioni ajabu yoyote kwa gavana kuitwa kwenda kutoa lecture au semina kwenye chama cha siasa, jumuia za wasomi au hata jumuia za kibiashara.Binafsi sijui CCM wanataka kupata lecture kwenye nini lakini sioni kama jambo la ajabu. Ni afadhali wametutangazia wote na tumejua kuliko walivyokuwa wanamfuata Ballali kimya kimya.

NEC ndio watunzi wa sera ambazo serikali ya CCM inatekeleza, uchumi ndio nguzo kuu katika sera za nchi yoyote ile, kwahiyo kupigwa lecture huko kama kukitumiwa vizuri kunaweza kuwa na faida kwa nchi. Hata vyama vingine vinaweza kukutana na gavana. Bahati mbaya vyama vyetu karibu vyote, havina sera za kichumi na vyote vinatumia muda mwingi kwenye malumbano bnadala ya kusema watafanya nini kwenye utawala wao.

Ahsante mkuu Mtanzania,

Very strong argument, na hakuna la kuongeza tena maana hiii ndio hasa ukweli wa hiii ishu.
 
Rev. Kishoka,

Naona watu mnatanguliza hasira badala ya kufikiri kwa makini.

Hivi CCM kama wanataka kumfunda Prof. Ndullu kweli wanahitaji kuitangazia dunia nzima? Si wangemwita tu Ikulu na kujaribu kumwambia wanachotaka?

Labda kwa nyumbani ni kitu cha ajabu lakini katika mizunguko yangu ya maisha, sioni ajabu yoyote kwa gavana kuitwa kwenda kutoa lecture au semina kwenye chama cha siasa, jumuia za wasomi au hata jumuia za kibiashara.

Binafsi sijui CCM wanataka kupata lecture kwenye nini lakini sioni kama jambo la ajabu. Ni afadhali wametutangazia wote na tumejua kuliko walivyokuwa wanamfuata Ballali kimya kimya.

NEC ndio watunzi wa sera ambazo serikali ya CCM inatekeleza, uchumi ndio
nguzo kuu katika sera za nchi yoyote ile, kwahiyo kupigwa lecture huko kama kukitumiwa vizuri kunaweza kuwa na faida kwa nchi.

Hata vyama vingine vinaweza kukutana na gavana. Bahati mbaya vyama vyetu karibu vyote, havina sera za kichumi na vyote vinatumia muda mwingi kwenye malumbano bnadala ya kusema watafanya nini kwenye utawala wao.

Tunaambiwa hiki ni kikao cha kamati kuu ya CCM. Ndulu hayumo kwenye kamati kuu ya CCM sasa kilichofanya CCM wambebe juu juu kwenda naye Butiama ni kipi!? :confused:

Kamati kuu inazungumzia mambo yanayohusu CCM, Ndulu ni Gavana wa benki pamoja na kuwa anaweza kuwa ni mwanachama wa CCM sikioni anachoenda kukifanya Butiama ambacho hakiwezi kufanywa akiwa Dar kama kipo tuelezwe ili tukijue
 
Mkuu wangu, kwanza ninataka kuamini kuwa wewe ni mbongo mwenzangu, maana haiwezekani ukawa mbongo ukashindwa kujua kuwa kustaafu mapema kwa Mahita, ex-Police Chief, hoja ilianzia NEC na baadaye CC, kwamba Mbilinyi waziri wa zamani wa hazina hoja ya kumpuzisha ilianzia NEC, kwamba majuzi kujiuzulu kwa Lowassa na mawaziri watatu, hoja zimetokea NEC na CC, I mean kamati ya CCM ya ulinzi na usalama kazi yake ni nini? kamati ya uchumi ya CCM kazi yake ni nini?

Ni pamoja na kufuatilia ishus za uchumi za taifa, kukutana na gavana na waziri at their call, kwa hiyo kama kuna ishu wanatakiwa kuifikisha kwenye NEC, ni lazima wawaite waziri na gavana, ili kuwasilisha their side of the professional story inayowakilishwa na kamati kwa NEC, bunge hufanya hivyo pia kumbuka kuwa hiyo professional Nduulu ameipata baada ya kuchaguliwa na rais, ambaye ni mwenyekiti wa CCM, ambaye taifa tumempa nafasi kisheria kutekeleza sera za CCM, ikiwa ni pamoja na sekta ya uchumi,

Hivi kweli haya yanahitaji kuwa professor kuelewa, hivi mkuu kweli unaaamini kuwa mkuu wa majeshi na wa polisi sasa hivi hawako Butiama tayari!

Mkuu, Ndulu ni mtendaji wa sirikali, na si mtendaji wa CCM! Kama ni kuitwa kuelezea chochote kile kuhusiana na BoT basi ni baraza la mawaziri ndilo linastahili kumwita
na wala siyo kamati kuu ya CCM. Hao wengine wote uliowataja inawezekana kabisa wako Butiama tayari kwa maoni yangu hawastahili kuweko huko zaidi ya kuhakikisha usalama wa vingunge, lakini kwa kuwa chama kimeshika utamu basi chama kinaweza kufanya chochote kile hakuna wa kukizuia!
 
Mkulu wangu Bubu,

CCM wangekuwa na nia mbaya naye, wasingesema kuwa wanaenda naye, wanayotaka kufanya naye huko sio lazima ingesubiri Butiama, halafu next time upinzani wakikutana mwiteni ni haki yenu kisheria kama mlikuwa hamjui, atakuja tu, akikataa then tutamkoma nyani hapa,

ila kwa sasa yeye kwenda huko NEC, kwa watengeneza sera zetu za taifa, ukweli ni kwamba hoja yenu ni hafifu kama hakuna kabisaa!
 
Nafurahi kuwa "Majita". Mama yangu mwenyewe pia ni wa shoka.Dady alikuwa akimkung'uta mingumi sisi hatujui.Asubuhi unasikia tu anakwambia nimewashwa na kitu nikajikuna nikavimba.Hahahaha.Ule ugari wa mhogo na samaki una maana yake nzuri tu.Baba wa Taifa Julius aliwahi kuongozwa na mbunge wa upinzani jimboni mwake. Hakuwa na jinsi.Makongoro Nyerere mwenyewe aliwahi kuwa upinzani wa familia yake.Hiyo ndo MUSOMA.Si tunakumbuka ile bendera ya Chui iliyombandisha miaka ile na kuibua operation Musoma.Remember??Basi hii ndo Musoma.

Na watazomewa sana.Kule hakuna misemo.Wao wanajua 1+1=2.
 
Mkuu, Ndulu ni mtendaji wa sirikali, na si mtendaji wa CCM!

Mkuu Ndulu, ni mtendaji wa serikali ya CCM, ambayo rais wake aliyempa kazi alichaguliwa kwanza ndani ya vikao vya CCM, kabla ya kuwa rais wa serikali ya CCM.
 
Kweli kazi ipo...sasa kwa mtindo huu inakuwa vigumu sana kujua mipaka kati ya chama na serikali....nakubali kabisa kwamba CCM ndo chama tawala....lakini jamani kuwa chama tawala wasivuke mipaka...sioni haja ya huyo Professor kwenda kwenye kikao cha CCM... kazi ya Prof. Ndulu alipaswa kukutana na bunge na kamati zake na kuelezea hali ya uchumi ilivyo...hizo kamati zikiwemo za mipango, uchumi na fedha zina wajumbe toka vyama vyote ikiwemo CCM ...hao wajumbe wa hizi kamati ndo wangeenda kuelezea hayo mambo ya uchumi kwenye mkutano wa CCM.

wanaotetea na watetee lakini tunakoelekea si kuzuri...kila kitu ni siasa siasa siasa tu...na ndo zilizotufikisha hapa tulipo...kwani CCM haina kamati mbalimbali zikiwemo za uchumi hao ndo wanapaswa kutoa mada kwenye vikao vya hicho CHAMA CHA MAFISADI WALIOKUBUU....
 
Waheshimiwa, samahani, natoka nje kidogo ya mada:

.... naomba tupunguze basi utumiaji wa neno 's**t'. Kama tunashindwa kabisa kujizuia basi tutumie 'viherufi' vya ajabu ajabu kama hapo juu katika kulivuruga kidogo. Naomba hivyo ili kutusaidia wengine ambao tuna internet zenye filter kali za maneno tuweze kuangalia JF bila vikwazo. Ahsanteni.

SteveD.
 
Mkuu Nyangumi,

Ninakuheshimu kuwa ni kichwa, Gavana wa BOT na waziri wa hazina ni watekelezaji wa sera za CCM on uchumi side, nashangaa sana kuwa ulikuwa hulijui hilo, maana ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa wabunge na rais, maana yake ni moja tu nayo ni CCM kuwa na mandate ya wananchi kutekeleza sera walizoziahidi kwenye kampeni, sasa sera hizo zitatekelezwa na nani? Rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM, akiwatumia wasaidizi wake wanaotambulika kisheria, who are they? ni pamoja na waziri wa hazina pamoja gavana wa BOT, sera za CCM zinatengenezwa na nani NEC,

Sasa kweli unasema kumuita gavana na waziri wa hazina NEC, ambao ndio watengenezaji wa sera zetu za taifa ni uhuni na ukosefu wa akili? are you serious? Maana nina wasi wasi watu wenye akili nyingi wakiisoma hii topic watashindwa kuelewa exactly nani mwenye uhuni na ukosefu wa akili mkuu,

Halafu, hivi ni kweli ilibidi utumie haya maneno very low kuwa-describe NEC ambao wameamua kuwaita watekelezaji wa sera zao kwa taifa?

I am very dis-appointed mkuu!

Hakuna haja ya matusi.
Lakini,
Field Marshal safari hii umechemsha kabisa.

Utetezi wako kuhusu gavana haukubaliki kabisa.
Gavana si mtu wa chama hata siku moja wala hatakiwi kujiingiza kwenye mambo ya chama hata katiba ya SISIEMU haisemi hivyo.
Gavana anatekeleza sera za uchumi wa serikali ya SISIEMU lakini si mwanasiasa, wakati waziri yeyote ni mwanasiasa.
Huo ukengeufu mnao uanzisha kwenye utendaji wa kila siku wa SISIEMU utawatokea puani hivi punde.

Haya basi Malizieni kabisa Mwiteni Said Mwema na Mwamunyange, wao pia wanatekeleza sera za serikali ya SISIEMU.
 
Mkulu wangu Bubu,

CCM wangekuwa na nia mbaya naye, wasingesema kuwa wanaenda naye, wanayotaka kufanya naye huko sio lazima ingesubiri Butiama, halafu next time upinzani wakikutana mwiteni ni haki yenu kisheria kama mlikuwa hamjui, atakuja tu, akikataa then tutamkoma nyani hapa,

ila kwa sasa yeye kwenda huko NEC, kwa watengeneza sera zetu za taifa, ukweli ni kwamba hoja yenu ni hafifu kama hakuna kabisaa!


Hawa watendaji wa SISIEMU walipoingia mikataba ya kututia utumwani kwa miongo kadhaa wao waliona wana nia njema, leo hii tumebaini kwamba nia yao ilikuwa ni kujilimbikizia utajiri kwenye familia zao.

Gavana kuitwa Butiama ni dalili ya kmoja kubwa kwamba SISIEMU wanapika misheni ya Nov 2010.

Kwa hiyo nduli akimaliza ni zamu ya Mwema au Mwamunyange??
 
Wito kwa watanzania wenzangu,mimi nimejifunza somo kubwa sana kwa watu wa Musoma na hii ndio inatakiwa hadi pale 20010,CCM tuwalambishe mchanga kwanza ndio adabu itawasogea vinginevyo watatufanya malofa hadi siku ya mwisho.

Watu wa musoma nawapa BIG UP kubwa.

Mageuzi huanzia North kwa kawaida.

Hapa USA North ndo walipambana mpaka USA tunayoijua leo ikaundwa.

Museven alianzia mapambano yake North akatwaa nchi.

Vietnam waliwatwanga USA kutokea North.

Mao alishinda vita China na kutwa nchi akitokea North.

Wazungu nao walikuja kutoka North kututawala.


Msumbiji walipambana na mreno wakitokea North.

Kabila naye alianzia North kule Goma na kuitwa nchi.

Mageuzi ya North yatatiririka taratibuna na kusambaa nchi nzima.

Mambo yose North
 
Back
Top Bottom