Kutoka Butiama: Exclusive news

wakati mwingine tunapochagua viongozi tuwe tunaangalia na sura jamani!!!!
 
Mwanakijiji: ni makosa kusema JF ilikuwa inasubiri makuu kutoka Butiama. Wengine hapa tulishakataa mapema kuwa mateka wa CCM na tulisema wazi kwamba hakuna chochote cha maana kitakachotoka Butiama. Ni wajumbe wachache wakiongozwa na wewe waliokuwa wanategemea makuu. In fact, ni wewe pekee hapa JF mwenye imani kubwa sana na vyombo vya CCM kama NEC. Sisi wengine tunaamini matatizo katika CCM ni ya kimfumo wala hatuamini kwamba kuwatoa watu wawili au hata kumshtaki Mkapa kutasaidia kuiponya Tanzania. Kufikiri kwamba matatizo yetu ya kiuongozi yatatatuliwa kwa kuwatoa kafara baadhi ya wana CCM ni sawa na kujaribu kumtibu mgonjwa wa malaria kwa panado. Sisi wengine tunaamini katika a difficult and a long route, which is to oust CCM from power.

So, please, usijenge hisia kwamba kila mtu hapa JF alikuwa anatarajia miujiza kutoka Butiama; ni wewe na baadhi ya ndugu wachache kabisa hapa JF.
 
Mwanakijiji: ni makosa kusema JF ilikuwa inasubiri makuu kutoka Butiama. Wengine hapa tulishakataa mapema kuwa mateka wa CCM na tulisema wazi kwamba hakuna chochote cha maana kitakachotoka Butiama. Ni wajumbe wachache wakiongozwa na wewe waliokuwa wanategemea makuu. In fact, ni wewe pekee hapa JF mwenye imani kubwa sana na vyombo vya CCM kama NEC. Sisi wengine tunaamini matatizo katika CCM ni ya kimfumo wala hatuamini kwamba kuwatoa watu wawili au hata kumshtaki Mkapa kutasaidia kuiponya Tanzania. Kufikiri kwamba matatizo yetu ya kiuongozi yatatatuliwa kwa kuwatoa kafara baadhi ya wana CCM ni sawa na kujaribu kumtibu mgonjwa wa malaria kwa panado. Sisi wengine tunaamini katika a difficult and a long route, which is to oust CCM from power.

So, please, usijenge hisia kwamba kila mtu hapa JF alikuwa anatarajia miujiza kutoka Butiama; ni wewe na baadhi ya ndugu wachache kabisa hapa JF.

Nakubaliana nawe mzee.
Tusitarajie kitu kipya kutoka CCM. Hawa jamaa ni wasanii wa kutupwa, na tatizo they take us for fools. Hata kama wanaona tutawashtukia na njia zao za kufunikana, wanaambiana watatufanya nini?? Waache waongee mwishoni watachoka.
Ikija wakati wa kura, hawajali, the bodies within CCM watanunuliwa na kuwapitisha. Wakija kwa Watanzania, watafisadi benki kuu na mashirika mengine, watanunua kura kwa njia yoyote ile.
Naamini kabisa, CCM will never save Tanzanians. Hata vijana wa CCM ambao ndo CCM ya kesho wako corrupted the same way. They are so opportunistic (by the way nisiongelee hili, kwani ndio maana wako CCM).
These people hawafai kuwekewa matarajio yoyote ya kumkomboa mwananchi, hilo tusahau kabisa.
 
Mwanakijiji: ni makosa kusema JF ilikuwa inasubiri makuu kutoka Butiama. Wengine hapa tulishakataa mapema kuwa mateka wa CCM na tulisema wazi kwamba hakuna chochote cha maana kitakachotoka Butiama. Ni wajumbe wachache wakiongozwa na wewe waliokuwa wanategemea makuu. In fact, ni wewe pekee hapa JF mwenye imani kubwa sana na vyombo vya CCM kama NEC. Sisi wengine tunaamini matatizo katika CCM ni ya kimfumo wala hatuamini kwamba kuwatoa watu wawili au hata kumshtaki Mkapa kutasaidia kuiponya Tanzania. Kufikiri kwamba matatizo yetu ya kiuongozi yatatatuliwa kwa kuwatoa kafara baadhi ya wana CCM ni sawa na kujaribu kumtibu mgonjwa wa malaria kwa panado. Sisi wengine tunaamini katika a difficult and a long route, which is to oust CCM from power.

So, please, usijenge hisia kwamba kila mtu hapa JF alikuwa anatarajia miujiza kutoka Butiama; ni wewe na baadhi ya ndugu wachache kabisa hapa JF.

Watanzania mnatakiwa kupigania kuiondoa CCM madaraka na si kubadili mtu mmoja ama baraza la Mawaziri.Mlisema Pinda Kiboko mbona yuko kama hayupo ? Tume yake hata sasa haijasema lolote .Sisiemu ni joka kubwa lina mishipa kikubwa na dawa yake ni kuliua kabisa na kulichomelea mbali.Kulipa matumaini ni kupoteza muda wako bure .Matokeo sasa mmeyaona sasa toka Butiama wamekula na kujipanga wamerudi wanangoja kucheza sanaa mpya .
 
Golden Opportunity!

  • CCM na Kikwete wamepoteza Golden Opportunity kujisafisha bila kujivutavuta. Huku kusema tukutane tena Mei kujadili yale ya siri, ni kuonyesha kuwa Chama hakina mwelekeo na Mwenyekiti hana nguvu zozote wala ushawishi wa kutosha kusafisha taswira ya chama. Hata kama kuna tecnicalities za kusema mapendekezo ya tume za Mwakyembe au uchunguzi wa EPA,walichoshindwa kupima CCM na hasa Mwenyekiti ni kujua mwendokasi wa uaminifu na imani ya Wananchi juu ya CCM na yeye kama Rais na MWenyekiti. Ameonyesha wazi katika nafasi zote kama Rais na Mwenyekiti kuwa ni mdhaifu wa kufanya maamuzi magumu.
  • This is Golden Opportunity kwa opposition. Upinzani utumie fursa hii mpaka Mei wakati CCM wanajivutavuta, kujijenga kisiasa. Si kwa kukosoa na kuonyesha udhaifu wa CCM tuu, bali ni kujenga hoja na kutangaza sera zake kwa wananchi upya. Suala la Muafaka kurudishwa kwa Wananchi kupigiwa kura, liandamane na madai ya Katiba mpya, na hata kama ikiridhia Utanganyika! Hii ni nafasi ndogo na finyu ya kujenga uimara na ushirikiano katika Upinzani kwa kutumia umakidamakida wa CCM. Upinzani uonyeshe ni jinsi gani ulivyo "safi" na ni jinsi gani viongozi wao wanaweza kufanya maamuzi makubwa na magumu bila kigugumizi kama Kikwete.
  • Mpiga Kura, hii ni nafasi kubwa sana kwako kujifunza kuwa CCM inalinda maslahi yake na si ya Taifa! Kama CCM ingekuwa kweli inajali maslahi ya Taifa, basi wasingeogopana kutatua kero za Taifa kwa kufumbiana macho au kuahirisha utekelezaji wa mambo ambayo ni dhahiri. Waulizeni CCM na Serikali yake, kwa nini wanaendelea kuwalipa Dowans pesa za mkataba mbovu? Waulizeni kwa nini inakuwa Siri kuhusu wanaorudisha pesa za wizi BOT huku ukame unakabili nchi, umeme bado ni shida, shule hazina vitendea kazi, mahospitali na zahanati hazina madawa au vifaa vya kutosha na zaidi kwa nini Mtanzania anaendelea kuwa masikini na kunyimwa kuongezwa kipato kukidhi mahitaji ya lazima lakini viongozi wanaongezewa "mapochopocho" maradufu?
 
Mwanakijiji: ni makosa kusema JF ilikuwa inasubiri makuu kutoka Butiama.


Kitila, ni makosa kusema kuwa nilisema JF inasubiri makuu kutoka Butiama. Sikuwahi kusema hivyo kwa sababu nachagua maneno yangu vizuri tu na ninamaanisha ninachosema na nikitaka kusema chochote naweza kukisema bila utata, so niwie radhi kama umepata impression kuwa nilisema hivyo unavyodhani nilisema.


Wengine hapa tulishakataa mapema kuwa mateka wa CCM na tulisema wazi kwamba hakuna chochote cha maana kitakachotoka Butiama. Ni wajumbe wachache wakiongozwa na wewe waliokuwa wanategemea makuu.

Sijui umejuaje ni wajumbe "wachache". Lakini, ni makosa makubwa ya kimkakati kudharau, kupuuzia au kutofuatilia kinachofanywa na CCM, kabla hujamshinda adui, lazima umjue na hakuna njia kubwa ya kumjua adui kama ku infiltrate within his ranks.. Kosa la wapinzani wanadhani wanaijua CCM ndio maana inaendelea kuwafunga magoli, lazima waijue kwa sababu CCM imewashinda na itaendelea kuwashinda wapinzani kwa sababu it took time kuingilia ngazi mbalimbali za upinzani.

Sasa hivi CCM wako more concerned kwa sababu wale ambao ni maadui wa kweli wanafuatilia hadi wanachokula ili kujua what is their weakest point.


In fact, ni wewe pekee hapa JF mwenye imani kubwa sana na vyombo vya CCM kama NEC.

Ndiyo nina imani kubwa na vyombo vya CCM kama NEC, lakini imani hiyo inatokana na ukweli ambao umedhihirika Butiama, kuwa CCM itaanguka kutoka ndani na kutokana na kuelewa vikao vya CCM naweza kukuambia pasipo shaka, kuvunjika kwake kutatokea ndani ya CCM na siyo wapinzani.

Sisi wengine tunaamini matatizo katika CCM ni ya kimfumo wala hatuamini kwamba kuwatoa watu wawili au hata kumshtaki Mkapa kutasaidia kuiponya Tanzania. Kufikiri kwamba matatizo yetu ya kiuongozi yatatatuliwa kwa kuwatoa kafara baadhi ya wana CCM ni sawa na kujaribu kumtibu mgonjwa wa malaria kwa panado. Sisi wengine tunaamini katika a difficult and a long route, which is to oust CCM from power.

Hizo zote ni imani, na mimi sina tatizo ni imani za watu kama "nyinyi" mnavyoamini. Kwani imani ni imani tu kwani kuna watu wanaamini kuna mama na mwanawe wamenaswa kwenye uso wa mwezi na ukiangalia usiku unaweza kuona mama kabeba kuni kwani alifanya kazi Jumapili! Sasa, siwezi kupinga imani yako. Lakini Imani bila matendo imekufa.

Naamini mojawapo ya matendo ambayo hayana budi kuendana na imani uliyoielezea ni kujifunza, kuchambua, na kuelewa kila mkakati wa CCM. Hiyo long route ya kuiondoa CCM itaendelea kuwa hivyo hivyo ..long.. lakini binafsi (I hope na wengine) kuna njia ya mkato nayo ni ya kuiangusha CCM toka ndani na believe me we have more success than you'll ever imagine. Mwenye macho haambiwi kodoa.

So, please, usijenge hisia kwamba kila mtu hapa JF alikuwa anatarajia miujiza kutoka Butiama; ni wewe na baadhi ya ndugu wachache kabisa hapa JF.

Well you might be right, but if you are wrong.. you gravely wrong.
 
Golden Opportunity!

  • CCM na Kikwete wamepoteza Golden Opportunity kujisafisha bila kujivutavuta. Huku kusema tukutane tena Mei kujadili yale ya siri, ni kuonyesha kuwa Chama hakina mwelekeo na Mwenyekiti hana nguvu zozote wala ushawishi wa kutosha kusafisha taswira ya chama. Hata kama kuna tecnicalities za kusema mapendekezo ya tume za Mwakyembe au uchunguzi wa EPA,walichoshindwa kupima CCM na hasa Mwenyekiti ni kujua mwendokasi wa uaminifu na imani ya Wananchi juu ya CCM na yeye kama Rais na MWenyekiti. Ameonyesha wazi katika nafasi zote kama Rais na Mwenyekiti kuwa ni mdhaifu wa kufanya maamuzi magumu.
  • This is Golden Opportunity kwa opposition. Upinzani utumie fursa hii mpaka Mei wakati CCM wanajivutavuta, kujijenga kisiasa. Si kwa kukosoa na kuonyesha udhaifu wa CCM tuu, bali ni kujenga hoja na kutangaza sera zake kwa wananchi upya. Suala la Muafaka kurudishwa kwa Wananchi kupigiwa kura, liandamane na madai ya Katiba mpya, na hata kama ikiridhia Utanganyika! Hii ni nafasi ndogo na finyu ya kujenga uimara na ushirikiano katika Upinzani kwa kutumia umakidamakida wa CCM. Upinzani uonyeshe ni jinsi gani ulivyo "safi" na ni jinsi gani viongozi wao wanaweza kufanya maamuzi makubwa na magumu bila kigugumizi kama Kikwete.
  • Mpiga Kura, hii ni nafasi kubwa sana kwako kujifunza kuwa CCM inalinda maslahi yake na si ya Taifa! Kama CCM ingekuwa kweli inajali maslahi ya Taifa, basi wasingeogopana kutatua kero za Taifa kwa kufumbiana macho au kuahirisha utekelezaji wa mambo ambayo ni dhahiri. Waulizeni CCM na Serikali yake, kwa nini wanaendelea kuwalipa Dowans pesa za mkataba mbovu? Waulizeni kwa nini inakuwa Siri kuhusu wanaorudisha pesa za wizi BOT huku ukame unakabili nchi, umeme bado ni shida, shule hazina vitendea kazi, mahospitali na zahanati hazina madawa au vifaa vya kutosha na zaidi kwa nini Mtanzania anaendelea kuwa masikini na kunyimwa kuongezwa kipato kukidhi mahitaji ya lazima lakini viongozi wanaongezewa "mapochopocho" maradufu?

Right on Rev,

Mimi nilitegemea (na niliahidiwa makubwa sana) katika mkutano huu. Haya mambo ya kusema mpaka mei bila kusema ni mei ya mwaka gani, ndio yaleyale ya kukutana mei 2010 na kisha kuwaambia watz kuwa walivyosema mei hawakusema kuwa ni mwaka gani!

Hii ni indication tosha kabisa kuwa these guys hawana mpango kabisa wa kutokomeza ufisadi au kuleta utulivu zanzibar. Niko very dissapointed!
 
Mwanakijiji: These are the kinds of debate that I like to engage in and am prepared to go on and on...

Ni vizuri sana kufikiri kwamba CCM itaanguka kutoka ndani na itaangushwa na wana ndani wenyewe. This is a belief (I hope it is not a misconception or a myth) like any other belief kama zile za kwangu, and it is fine to think so. Tatizo langu hapa ni impact ya imani hizi katika struggles ambazo tumeamua kwenda nazo. Mtu akisoma hii post yako ya sasa anaweza kupata picha kwamba mimi (na wengine bila shaka) na wewe tuna lengo moja lakini tunatofautiana kimkakati. Lakini hii ni kama mtu atakwenda deep na sio asome maandishi yako from its face value,which is the case with the majority of our readers. Sasa maanake ni kwamba imani yako haiwi tu imani bali pia misconception ambaye inawachanganya wananchi ambao wameanza kushika kasi ya kuondokana na umateka wa CCM. Maandishi yako yanatoa picha kwamba CCM bado ndicho chama kinachostahili kuongoza madamu kitaamua kubadilika.

Rejea makala yako ya jana kwenye Tanzania Daima. Umekariri maandishi ya Mwl Nyerere pale aliposema kwamba bila CCM madhubuti nchi itayumba na umeondoka nayo as if this is absolute truth bila kuyaweka maandishi haya in context. Lakini sote tunajua kwamba katika mfumo wa vyama vingi chama kinachotawala kikiyumba haina maana kwamba nchi inayumba. Kinachofanyika hapa ni kwamba kikiyumba wananchi wataachana nacho na uchaguzi ukija watakichagua chama kingine lakini nchi inaendelea kusonga mbele.Huu ndio ukweli duniani kote. Hakuna nchi iliyowahi kuyumba eti kwa sababu chama tawala kiliyumba; vyama tawala huwa vikishindwa kutawala huwa vinafukuzwa madarakani kwa njia ya kura.

In contrast, maandishi yako yanatoa picha kwamba Tanzania haiwezi kusimama bila CCM, which, I believe, is 200% wrong. Huu ndio ambao mimi naita ni umateka wa CCM. Ni kama vile mlevi wa pombe au madawa ya kulevya anayeamini hawezi kuishi bila hayo madawa. Lakini CCM sio dini yetu wala madawa yetu ya kulevya, kama wanayumba na wameshindwa kutawala, wajibu wetu ni kuwaambia wananchi ukweli huo ili watumie ufahamu wao kuchagua chama kingine na wala sio kuwachanganya kwa kuwaambia kwamba bila CCM imara nchi itayumba. Na wala sisi tunaotaka mabadiliko hatupaswi kuwa kama mafisi kwa kuwavizia CCM waangushe mkono kwa baadhi yao kukitema chama chao ndipo tupate mwanga wa mabadiliko. Tumesubiri wadondeshe hiyo mikono for the past 15 years na hatujaona ikidondoka lakini hatuwezi kusubiri CCM wagawanyike ndipo nchi yetu ipate uponyaji. Ndio maana nasema kama kweli tunataka mabadiliko there is very little room for a short cut; we must be prepared for the difficult struggle as other nations have done, and we have to tell our people as such badala ya kuwapa false impression.

Hii ya kuuma na kupuliza haitufikishi popote wala hatutaweza tule kakeki ketu halafu tuwe nako wakati huohuo, hii hapana, haiji kabisa.
 
Mwanakijiji: These are the kinds of debate that I like to engage in and am prepared to go on and on...

Ni vizuri sana kufikiri kwamba CCM itaanguka kutoka ndani na itaangushwa na wana ndani wenyewe. This is a belief (I hope it is not a misconception or a myth) like any other belief kama zile za kwangu, and it is fine to think so. Tatizo langu hapa ni impact ya imani hizi katika struggles ambazo tumeamua kwenda nazo. Mtu akisoma hii post yako ya sasa anaweza kupata picha kwamba mimi (na wengine bila shaka) na wewe tuna lengo moja lakini tunatofautiana kimkakati. Lakini hii ni kama mtu atakwenda deep na sio asome maandishi yako from its face value,which is the case with the majority of our readers. Sasa maanake ni kwamba imani yako haiwi tu imani bali pia misconception ambaye inawachanganya wananchi ambao wameanza kushika kasi ya kuondokana na umateka wa CCM. Maandishi yako yanatoa picha kwamba CCM bado ndicho chama kinachostahili kuongoza madamu kitaamua kubadilika.

Rejea makala yako ya jana kwenye Tanzania Daima. Umekariri maandishi ya Mwl Nyerere pale aliposema kwamba bila CCM madhubuti nchi itayumba na umeondoka nayo as if this is absolute truth bila kuyaweka maandishi haya in context. Lakini sote tunajua kwamba katika mfumo wa vyama vingi chama kinachotawala kikiyumba haina maana kwamba nchi inayumba. Kinachofanyika hapa ni kwamba kikiyumba wananchi wataachana nacho na uchaguzi ukija watakichagua chama kingine lakini nchi inaendelea kusonga mbele.Huu ndio ukweli duniani kote. Hakuna nchi iliyowahi kuyumba eti kwa sababu chama tawala kiliyumba; vyama tawala huwa vikishindwa kutawala huwa vinafukuzwa madarakani kwa njia ya kura.

In contrast, maandishi yako yanatoa picha kwamba Tanzania haiwezi kusimama bila CCM, which, I believe, is 200% wrong. Huu ndio ambao mimi naita ni umateka wa CCM. Ni kama vile mlevi wa pombe au madawa ya kulevya anayeamini hawezi kuishi bila hayo madawa. Lakini CCM sio dini yetu wala madawa yetu ya kulevya, kama wanayumba na wameshindwa kutawala, wajibu wetu ni kuwaambia wananchi ukweli huo ili watumie ufahamu wao kuchagua chama kingine na wala sio kuwachanganya kwa kuwaambia kwamba bila CCM imara nchi itayumba. Na wala sisi tunaotaka mabadiliko hatupaswi kuwa kama mafisi kwa kuwavizia CCM waangushe mkono kwa baadhi yao kukitema chama chao ndipo tupate mwanga wa mabadiliko. Tumesubiri wadondeshe hiyo mikono for the past 15 years na hatujaona ikidondoka lakini hatuwezi kusubiri CCM wagawanyike ndipo nchi yetu ipate uponyaji. Ndio maana nasema kama kweli tunataka mabadiliko there is not short cut to the difficult struggle as other nations have done. Lakini hii ya kuuma na kupuliza haitufikishi popote wala hatutaweza tule kakeki ketu halafu tuwe nako wakati huohuo, hii hapana, haiji kabisa.

Mkuu Kitila I salute.
Uchambuzi wako ni bomba mbaya mayo.
Ila nasema Watanzania tunahitaji kuonja kipigo cha kama cha wananchi wa Zimbabwe ndo tutaingiwa na akili.
 
Mwanakijiji: These are the kinds of debate that I like to engage in and am prepared to go on and on...


Mzee ndio uzuri wa mijadala hii kwani inachangamsha akili na kuburudisha nafsi. So, tuendelee.

Ni vizuri sana kufikiri kwamba CCM itaanguka kutoka ndani na itaangushwa na wana ndani wenyewe.

Bado unakosa point yangu, sijasema CCM itaangushwa kutoka ndani au na wanaCCM wenyewe; nilichomaanisha ni kuwa CCM itaanguka baada ya kuifahamu CCM yenyewe na kutumia weakest point zake; sasa kama watu wa nje wanaweza kutumia walio ndani kuiangusha so be it (na hicho ndicho kinachofanyika sasa). Kuiangusha toka nje ndiyo "long route" yako, kuiangusha kutoka nje kwa kutumia mifumo, taratibu, na wanachama wake yenyewe ndiyo njia yangu mimi.


This is a belief (I hope it is not a misconception or a myth) like any other belief kama zile za kwangu, and it is fine to think so. Tatizo langu hapa ni impact ya imani hizi katika struggles ambazo tumeamua kwenda nazo. Mtu akisoma hii post yako ya sasa anaweza kupata picha kwamba mimi (na wengine bila shaka) na wewe tuna lengo moja lakini tunatofautiana kimkakati. Lakini hii ni kama mtu atakwenda deep na sio asome maandishi yako from its face value,which is the case with the majority of our readers. Sasa maanake ni kwamba imani yako haiwi tu imani bali pia misconception ambaye inawachanganya wananchi ambao wameanza kushika kasi ya kuondokana na umateka wa CCM.

ya kwangu siyo belief (imani) tu bali ni nadharia ambayo naamini (that is where my belief comes in) kuwa ikifanyiwa kazi ndiyo itaharakisha kuanguka kwa CCM. Kwamba, CCM yaweza kudhoofishwa na wana CCM wenyewe na wakiamua kuiimarisha wataiimarisha wao wenyewe.

Maandishi yako yanatoa picha kwamba CCM bado ndicho chama kinachostahili kuongoza madamu kitaamua kubadilika.

Kama CCM itabadilika na kufanya yale ambayo hayatarajiwi na kuanza kujisafisha kweli believe me, hakuna chama cha upinzani kitakachoweza kuindoa baadaye. Kama upinzani umeshindwa kutumia nafasi na fursa lukuki za kuipa funzo CCM wakati CCM imedhoofika miguu na inayumba yumba, wataweza kweli CCM ikijiimarisha? Kitu pekee ambacho upinzani wanaweza kuombea kwa faida yao ni kuwa CCM isiimarike lakini ikiimarika...


Rejea makala yako ya jana kwenye Tanzania Daima. Umekariri maandishi ya Mwl Nyerere pale aliposema kwamba bila CCM madhubuti nchi itayumba na umeondoka nayo as if this is absolute truth bila kuyaweka maandishi haya in context.

Sasa hii ni gross miresprentation of my argument kwenye makala ya jana. Labda ninukuu nilichokisema kuhusu kauli hiyo na uone kuwa sicho unachosema ndicho nilichosema.

"Hata hivyo tunaporudi na kuangalia kauli ya Mwalimu ya “bila CCM madhubuti nchi yetu itayumba”, tunaweza kuona mambo kadhaa ambayo ndani yake yana ukweli. Kwanza, kama chama tawala kilichoko madarakani kitalegalega, basi taifa lile ambalo chama hicho kinaliongoza basi litayumba.


Hivyo kwa upande huo maneno ya “bila CCM madhubuti” yanaweza kuwa kweli kwa chama chochote cha kisiasa kitakachokuwa madarakani kwani chama dhaifu ni hatari kwa taifa.

Lakini pia kuna kitu kingine kimefichika katika kauli hiyo ya Mwalimu. Kama watu wanakumbuka wataona kuwa maneno ya Mwalimu yalitolewa wakati taifa letu linajiandaa kuingia kwenye uchaguzi na hivyo yalikuwa yanahusu mambo mengi yaliyokuwa yanatokea wakati ule (katikati ya miaka ya tisini). Kitu ambacho kilifichika ni kuwa Mwalimu hakusema “Bila viongozi madhubuti, nchi yetu itayumba.”


Kwa mtu mwenye kutumia lugha ya Kiswahili vizuri, Mwalimu alikuwa anamaanisha anachosema na anasema alichomaanisha.

Kama Mwalimu angetaka kusema: “Bila rais madhubuti nchi yetu itayumba”, angesema hivyo; kama angetaka kumaanisha: “Bila Bunge madhubuti nchi yetu itayumba,” angesema hivyo; na kwa hakika kama angetaka kumaanisha: “Bila viongozi madhubuti nchi yetu itayumba,” nina uhakika angesema hivyo.

Lakini, katika umahiri wake wa lugha na ufundi wake wa kujenga hoja (ambao mimi kwake ni mwanafunzi wa chekechekea), Mwalimu alisema: “Bila CCM”! kwa maneno mengine, bila ya Chama Cha Mapinduzi (wanachama, muundo, mfumo, sera, itikadi, nidhamu n.k ) nchi yetu itayumba. Kwamba bila jumla ya mambo yote yanayokifanya Chama Cha Mapinduzi kuwa chama, mambo ambayo ni muhimu na ya msingi na ambayo ni madhubuti, basi nchi yetu itayumba."


Lakini sote tunajua kwamba katika mfumo wa vyama vingi chama kinachotawala kikiyumba haina maana kwamba nchi inayumba. Kinachofanyika hapa ni kwamba kikiyumba wananchi wataachana nacho na uchaguzi ukija watakichagua chama kingine lakini nchi inaendelea kusonga mbele.Huu ndio ukweli duniani kote. Hakuna nchi iliyowahi kuyumba eti kwa sababu chama tawala kiliyumba; vyama tawala huwa vikishindwa kutawala huwa vinafukuzwa madarakani kwa njia ya kura.

Sijui msingi wa hoja yako hii ni nini. Chama tawala kikiyumba nchi nayo inayumba na ni kutokana na kuyumba kwa nchi ndipo watu huamua kubadilisha chama tawala. Chama tawala kikiyumba na nchi haiyumbi haja ya kukibadilisha inatoka wapi?

Nioneshe mahali popote ambapo chama tawala kiliyumba, nchi ikabakia vizuri (bila kuyumba) na wananchi wakaamua kukibadili chama hicho. Chama cha Mapinduzi cha Mexico kiliyumba, na nchi ikayumba ndipo Vicente Fox alipoingia na timu yake na kukibadili; Chama kilichotawala Taiwan nacho kimeyumba, na kutokana na kuyumba kwake Taiwan ikawa na matatizo (ikayumba) na majuzi watu wamekibadilisha; hiyo ndiyo kanuni ambayo hufuatwa mara nyingi.

Kutenganisha utawala wa CCM na matokeo yake kwa nchi yetu haiwezekani. Kuyumba kwa CCM ni kuyumba kwa Tanzania na ukweli huo utaenda hata CUF ikiwa madarakani au Chadema. Chama tawala kinaposhindwa au kuyumba Taifa na serikali ile inayoongoza nayo huyumba.

CCM imeyumba, Serikali yake imeyumba, na Taifa linayumba (na ndio maana kichwa cha habari cha makala ya jana haikuwa "Tanzania itayumba" bali "Tanzania inayumba".


In contrast, maandishi yako yanatoa picha kwamba Tanzania haiwezi kusimama bila CCM, which, I believe, is 200% wrong. Huu ndio ambao mimi naita ni umateka wa CCM.

SIjawahi kusema hivyo kwani siwezi kusema hivyo Tanzania ni juu ya chama chochote kile. As a matter of fact niliandika makala mwaka mmoja uliopita kuwa "Bila CCM Tanzania inawezekana" na huo bado ni msimamo wangu, which can be applied to any other party that will come to power. Bila Chadema, CUF, TLP etc Tanzania bado inawezekana! Sidhani kuwa kuiondoa CCM na kuwapa Chama kingine basi matatizo yetu yatakoma!


Ni kama vile mlevi wa pombe au madawa ya kulevya anayeamini hawezi kuishi bila hayo madawa. Lakini CCM sio dini yetu wala madawa yetu ya kulevya, kama wanayumba na wameshindwa kutawala, wajibu wetu ni kuwaambia wananchi ukweli huo ili watumie ufahamu wao kuchagua chama kingine na wala sio kuwachanganya kwa kuwaambia kwamba bila CCM imara nchi itayumba.

Ukweli wa kuwaambia wananchi siyo kuwapa matumaini ya uongo kuwa CCM ikiondoka madarakani basi mambo yatakuwa mazuri na viongozi wote watakoingia watakuwa ni waadilifu, mikataba mibovu itakoma, hawatatumia nafasi zao vibaya n.k Tusiwaje watu matumaini yakukatisha tamaa; Si wa Kenya walidhani kuwa Kibaki kuingia madarakani ndio mwanzo wa neema? Kubadilisha chama tu alimradi chama kingine kiingie siyo suluhisho la matatizo yetu. Hili si kweli hata kidogo.

Na wala sisi tunaotaka mabadiliko hatupaswi kuwa kama mafisi kwa kuwavizia CCM waangushe mkono kwa baadhi yao kukitema chama chao ndipo tupate mwanga wa mabadiliko. Tumesubiri wadondeshe hiyo mikono for the past 15 years na hatujaona ikidondoka lakini hatuwezi kusubiri CCM wagawanyike ndipo nchi yetu ipate uponyaji.

Kwa muda mrefu, wapinzani wamekuwa wakisubiri "mkono udondoke" kama fisi bila kufanya jitihada za kulazimisha mkono huo udondoke. Haitoshi kufuatilia nyuma ya mtu kama kwa kunyemelea ili kuona kama mkono utadondoka. Juhudi hizo ni juhudi za wavivu.

Ninachopendekeza mimi ni kulazimisha mkono udondoke siyo kwa kuukodolea toka mbali au kusubiri mtu asinzie bali kwa kuanza kuunyofoa! kuunyang'anyia hata kama jamaa anapiga kelele. Kwa kadiri fisi wanasimama mbali, basi mkono wa mtu uko salama. Wao wanaweza kukaa mbali na kupanga mikakati ya muda "mrefu" ya kukwapua mkono huo, lakini akitokea dubu hana muda wa kupoteza yeye anaenda na kunyofoa wakati fisi watajikuta wanaambulia mifupa ya kazi za wengine.

Ndio maana nasema kama kweli tunataka mabadiliko there is very little room for a short cut; we must be prepared for the difficult struggle as other nations have done, and we have to tell our people as such badala ya kuwapa false impression.

Zamani mapambano yalikuwa ni ya muda mrefu kwa sababu hatukuwa na nyenzo au ujuzi wa kupigana vita vifupi, vya kisasa na kamilifu. Njia hiyo unayopendekeza sioni kama inafaa kwa sababu inatake into equation kuwa muda utakuwa upande wetu. Naamini mabadiliko ya kweli yanahitajika sasa, na kama kweli tuko tayari kulipia gharama ya mapambano hayo basi lazima tutumie mbinu zote at our disposal...

Mbinu hizo are not of exclusive of each other but are fundamentally complimentary. Do you agree?
 
I guess the bottom dollar I put on a bet against anything substantive coming out of this Butiama PR business is still safe.

Kikwete is a wussy in need of a serious spank, lets give it to him.
 
Just curios, Does CCM foots the expenses incurred by Governent Operatives such as Usalama wa Taifa, Polisi, Jeshi and any nook and crany that works for Serikali? Madereva, wasaidizi nakadhalika?

Hizi interpayment zinafanyikaje?
 
Back
Top Bottom