Hahaha, William... Safi
Le Mutuz piga hata chini ya mkanda. Acha kutetemeka le Baharia. JF inakusikiliza.
Jf kumbe kuna kaujasiri ka kwenye keyboard tu, jamaa anaongea kwa kakigugumizi ka mbali.
Le Mutuz ze Baharia namkubali sana!
Sasa hivi ameanza kugain confidence