Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,821
dah ... shyrose ameshindwa kujibu swali la mwakyembe kabisa ....linahusu flow of key factors of production in East Africa Coopeeration
halafu mtu yuko kwenye sekta ya benki...
dah ... shyrose ameshindwa kujibu swali la mwakyembe kabisa ....linahusu flow of key factors of production in East Africa Coopeeration
Mgombea gani anapaka kalikiti........minyororo kama mfungwa bana
Naunga mkono hoja hata mimi ningempa kura yangu, maana wakija hawa vilaza wa vitu Maalum wa CCM utacheka hadi ufe hata Makinda ana afadhali kwa kiingereza kibovu.No buddy,yupo ndani ya context ya kile anachogombea.Hata jibu lake kwa Mwakyembe liko very objective.Ningekuwa Bungeni ningempigia kura
sometimes accent inaficha madudu
dah ... shyrose ameshindwa kujibu swali la mwakyembe kabisa ....linahusu flow of key factors of production in East Africa Coopeeration
Huo Udoctor aliupataje mbona Kiingereza ni cha ugoko!!??........leo kuna Sinema ya bure akyamungu wataumbuka wengi kweli kweli.Dk Kinyondo Kokubanza anapewa nafasi ya pili kujieleza na kuomba kura
ni mwana mama huyu
Dk Kinyondo Kokubanza anapewa nafasi ya pili kujieleza na kuomba kura
ni mwana mama huyu
Dk Kinyondo Kokubanza anapewa nafasi ya pili kujieleza na kuomba kura
ni mwana mama huyu
Naunga mkono hoja hata mimi ningempa kura yangu, maana wakija hawa vilaza wa vitu Maalum wa CCM utacheka hadi ufe hata Makinda ana afadhali kwa kiingereza kibovu.
Kizungu cha mama!
Lecturer wa mzumbe na Namibia pamoja na kufanya kazi Afrobarometer! Kizungu mmh
Kizungu cha mama!
Lecturer wa mzumbe na Namibia pamoja na kufanya kazi Afrobarometer! Kizungu mmh