Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Au kuzimia kambisa unafanya mchezo kuongea mbele ya waheshimiwa tena kigereza....hahahahahaNaona JF tunachukulia simple sana hii kitu..watu kijasho kinawatoka hapo
Hebu jiweke wewe ndo uko kwenye kikaango hicho kama hujaanza ze ze na yes yes nyingi na kusahau point zote .......