Kutoka bungeni: Uchaguzi wa wabunge wa Afrika Mashariki

Baada ya jana usiku CCM kukutana na kutazama kimakini juu ya uamuzi wa CHADEMA kutokushiriki kwenye uchaguzi wa bunge la Afrika Mashariki , wameamua kutoa nafasi mbili kwa upinzani dai ambalo lilikuwa miongoni mwa madai ya msingi kabisa ya CHADEMA kushiriki ama kutokushiriki.

Baada ya CCM kusalimu amri wabunge wa CHADEMA watashiriki kwenye uchaguzi huu na ndio unaendelea kwa spika kutoa maelekezo mbalimbali.

Nawasilisha.[/QU
 
Kheri yule mdada Mwalusamba kutoka Mbeya kasema openly alivyoona hali mbaya.... I WITHDRAW MY CANDIDACY.... I luv Education.....
 
Usibishane na sisi tunaosafiri kwenye nchi hizo, American Embassy sasa Document is not necessary, sio lazima upinge hata vile ambavyo huna ufahamu navyo. unatumia Internet tafuta hizi taarifa utazipata online.
Viza ya UK na US inadepends on urself na siyo makaratasi.
wewe ndio hujui arifu......jamaa mmoja kapata viza last wiki na aliongea kiswahili....
 
Naona JF tunachukulia simple sana hii kitu..watu kijasho kinawatoka hapo

Hebu jiweke wewe ndo uko kwenye kikaango hicho kama hujaanza ze ze na yes yes nyingi na kusahau point zote .......
 
ila kama watachagua watu kutokana na kujieleza kwao nadhani William John Malecela ana wakati mgumu sana.
 
si mda uchaguzi utaanza,kwa sasa spika makinda anasoma kanuni na sheria zilizounda bunge hilo na haki ya bunge letu kuchagua watanzania kutuwakilisha afrika mash.


spika amekataa mwongozo wa mbunge aliekuwa anataka kuomba kwake.

tufuatilie

my take;haki itendeke



Matokeo:

Name Patry
Ebu weka hii itakufaa mkuu:
S#
NAME
VOTE
PARTY
1
*
*
*
2
*
*
*
3
*
*
*
4
*
*
*
5
*
*
*
6
*
*
*
7
*
*
*
8
*
*
*
9
*
*
*
 
Asprin kuwa mkweli basi hata katika hili ambalo liko wazi.

Nafuta kauli mkuu. Unajua alivyoanza na habari ya vita vya Iddi Amin nikashtuka kidogo na kuhisi atakuwa bonge la kilaza. Lakini kadri muda ulivyosonga mbele akaniprove wrong.

I vote for Makongoro.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom