FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 801
- 466
Yaani hata ukisikia sifa siyo hizi.
1.Unajiuliza huyu jamaa kasoma au ndiyo kajitoa ufahamu.Maana wasomi huongea Kwa takwimu Na utafiti
2.Hayo anayosema ndiyo mwono Na mtazamo wa chama chake au mawazo binafsi?Angetafakari Kwanza kabla hajaaibisha chama
3.Alisoma vema katiba kweli au anatoa maoni yake
4Hata kama Ni kutafuta Huruma apewe uwaziri tena,ajitfakari kilichomtoa
1.Unajiuliza huyu jamaa kasoma au ndiyo kajitoa ufahamu.Maana wasomi huongea Kwa takwimu Na utafiti
2.Hayo anayosema ndiyo mwono Na mtazamo wa chama chake au mawazo binafsi?Angetafakari Kwanza kabla hajaaibisha chama
3.Alisoma vema katiba kweli au anatoa maoni yake
4Hata kama Ni kutafuta Huruma apewe uwaziri tena,ajitfakari kilichomtoa