Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,910
- 63,887
Kama mpinzani wako anajiendesha kilegevu kumfanya awe mkomavu si atakuongezea ushindani?
Kuna anayetaka ushindani.
Naona nchi yetu itakuja kua Police State.
Nchi zingine watu wanagombea madini, gesi, mafuta sisi tutagombana kwa ajili ya uonevu.
Mbuzi yeyote akiniquote kunielezea ujinga namtukana.
Kuna anayetaka ushindani.
Naona nchi yetu itakuja kua Police State.
Nchi zingine watu wanagombea madini, gesi, mafuta sisi tutagombana kwa ajili ya uonevu.
Mbuzi yeyote akiniquote kunielezea ujinga namtukana.