Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Swali la Lissu ni la Kiume!Pinda anajifanya kapinda eti halifahamu ilo!
Watz wako 40mil almost iweje mtu akalie kofia mbili kwa kipi cha ziada alichonacho au ili awe bize aache kuiponda serikali Mf Eng Manyanya alikuwa kwa kamati ya Mwakyembe wakaona wamzibe mdomo
Watz wako 40mil almost iweje mtu akalie kofia mbili kwa kipi cha ziada alichonacho au ili awe bize aache kuiponda serikali Mf Eng Manyanya alikuwa kwa kamati ya Mwakyembe wakaona wamzibe mdomo