Kutoka Bungeni kwa wabunge wa CHADEMA kwaleta hisia tofauti Newyork

MKUU WA WAKUU

Member
Oct 23, 2010
18
1
Kitendo cha wabunge wa CHADEMA kutoka bungeni jana kimetafsiriwa kama udhaifu mkubwa kwa raisi wetu JK na pia kinaonyesha kuwa wananchi na wabunge hawana imani na serikali ya huyo bwana.

Viongozi kadhaa wanaohudhuria mkutano wa maendeleo wa nchi za Caribean wanasema jambo lililofanyika jana huko Tanzania ni historia na ni nchi chache sana duniani zinazoweza kufanya kitendo kama kile. Inasemekana Ireland ndio nchi pekee ya Ulaya ambayo wabunge wa upinzani wamekuwa mara nyingi wakitoka bungeni wakati waziri mkuu akiwa anahutubia.

Ploe JK upinzani wa kweli umeingia bungeni
 
Kitendo cha wabunge wa CHADEMA kutoka bungeni jana kimetafsiriwa kama udhaifu mkubwa kwa raisi wetu JK na pia kinaonyesha kuwa wananchi na wabunge hawana imani na serikali ya huyo bwana.

Viongozi kadhaa wanaohudhuria mkutano wa maendeleo wa nchi za Caribean wanasema jambo lililofanyika jana huko Tanzania ni historia na ni nchi chache sana duniani zinazoweza kufanya kitendo kama kile. Inasemekana Ireland ndio nchi pekee ya Ulaya ambayo wabunge wa upinzani wamekuwa mara nyingi wakitoka bungeni wakati waziri mkuu akiwa anahutubia.

Ploe JK upinzani wa kweli umeingia bungeni

Aisee, natamani kuiamini hii habari kisha nikapate kilainisha koo...
 
kitendo cha wabunge wa chadema kutoka bungeni jana kimetafsiriwa kama udhaifu mkubwa kwa raisi wetu jk na pia kinaonyesha kuwa wananchi na wabunge hawana imani na serikali ya huyo bwana.

Viongozi kadhaa wanaohudhuria mkutano wa maendeleo wa nchi za caribean wanasema jambo lililofanyika jana huko tanzania ni historia na ni nchi chache sana duniani zinazoweza kufanya kitendo kama kile. Inasemekana ireland ndio nchi pekee ya ulaya ambayo wabunge wa upinzani wamekuwa mara nyingi wakitoka bungeni wakati waziri mkuu akiwa anahutubia.

Ploe jk upinzani wa kweli umeingia bungeni
tusaidie source yako ili itusidie kuwaeilimisha watanzania vilaza huku nyumbani.
 
Hawa jamaa wa New York tuwaeleweje???????????? Si ilikuwa waandamane, yaliishia wapi???????? Kumbe ni mbuzi katika ngozi ya kondoo????????????????????????///// Tuwajue!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kitendo cha wabunge wa CHADEMA kutoka bungeni jana kimetafsiriwa kama udhaifu mkubwa kwa raisi wetu JK na pia kinaonyesha kuwa wananchi na wabunge hawana imani na serikali ya huyo bwana.

Viongozi kadhaa wanaohudhuria mkutano wa maendeleo wa nchi za Caribean wanasema jambo lililofanyika jana huko Tanzania ni historia na ni nchi chache sana duniani zinazoweza kufanya kitendo kama kile. Inasemekana Ireland ndio nchi pekee ya Ulaya ambayo wabunge wa upinzani wamekuwa mara nyingi wakitoka bungeni wakati waziri mkuu akiwa anahutubia.

Ploe JK upinzani wa kweli umeingia bungeni

Jana nilisema kwenye ukumbi kuwa walichofanya CHADEMA ni kitendo cha kishujaa. CCM na vikaragosi vyake CUF,UDP,TLP na NCCR watabeza na kuzomea lakini WAJUE THE MESSAGE HAS BEEN SENT ALL OVER THE WORLD.

Wasubiri matokeo.
 
Jana nilisema kwenye ukumbi kuwa walichofanya CHADEMA ni kitendo cha kishujaa. CCM na vikaragosi vyake CUF,UDP,TLP na NCCR watabeza na kuzomea lakini WAJUE THE MESSAGE HAS BEEN SENT ALL OVER THE WORLD.

Wasubiri matokeo.

Matokeo ni kwamba imeanza kula kwa Chadema.

Hata Mhe Mbowe anaonekana kulainika ili kukwepa lawama za kusababisha wabunge wake kupigwa stop bungeni.

JK na Serikali yake watambuliwe ili yaishe. Tunamaliza muda mwiingi kulumbana kwa mambo ambayo hayana tija.
Wananchi watatupa kura tena kweli kwa vitendo hivi vya kihuni?

Tumejimaliza wenyewe, sasa tunachekwa na kila mtu ndani na nje ya nchi. What a shame!
 
inabidi dunia itambue kuwa watanzania wana madai ya msingi, katiba mpya yenye kuzingatia ujenzi wa democracy, sasa tumepata wawakilishi wa kweli wenye kuthubutu kudai haki kwa vitendo na si kwa maneno, watanzania tupo nyuma yenu na tunawategemea move hii haitozimwa hadi kieleweke.
 
Matokeo ni kwamba imeanza kula kwa Chadema.

Hata Mhe Mbowe anaonekana kulainika ili kukwepa lawama za kusababisha wabunge wake kupigwa stop bungeni.

JK na Serikali yake watambuliwe ili yaishe. Tunamaliza muda mwiingi kulumbana kwa mambo ambayo hayana tija.
Wananchi watatupa kura tena kweli kwa vitendo hivi vya kihuni?

Tumejimaliza wenyewe, sasa tunachekwa na kila mtu ndani na nje ya nchi. What a shame!

wananchi wanataka mabadiliko hasa ya katiba ili kiongozi ak
 
Matokeo ni kwamba imeanza kula kwa Chadema.

Hata Mhe Mbowe anaonekana kulainika ili kukwepa lawama za kusababisha wabunge wake kupigwa stop bungeni.

JK na Serikali yake watambuliwe ili yaishe. Tunamaliza muda mwiingi kulumbana kwa mambo ambayo hayana tija.
Wananchi watatupa kura tena kweli kwa vitendo hivi vya kihuni?

Tumejimaliza wenyewe, sasa tunachekwa na kila mtu ndani na nje ya nchi. What a shame!

Kishongo soma hii ya Warusi(Vyama vya Upinzani) waliotoka nje ya Ukumbi wa Bunge kupinga matokeo ya Kura kama walivofanya CHADEMA.
Swala la kuabika nje na ndani halipo Mhe.Kishongo. Hii ni sehemu ya Kikatiba ya upambanaji katika kudai haki.


Russian opposition parties walk out of Parliament, in protest of election results

Thu 15 Oct 2009
duma(2).jpg

On 14 October three Russian opposition parties walked out of Parliament in a rare act of protest against the local poll held on 11 October. The parties also threatened to raise mass demonstrations against the election results which they say were rigged and turnout was much lower than reported. Official results showed Prime Minister Vladimir Putin's United Russia party - backed by President Dmitry Medvedev- winning nearly every poll by a wide margin, including in the capital Moscow.



Opposition critical for the first time
None of the three protesting parties -the nationalist Liberal Democratic Party (LDPR), the A Just Russia party, and the Communist Party -is usually critical of the Kremlin. Liberal opposition parties are not represented in Parliament and are marginalized in state media.

The ultra-nationalist LDPR was the first to blame PM Putin for an unworkable system and demanded a vote recount at every polling station after accusing United Russia of having "fraudulently appropriated" his party's votes. LDPR leader Vladimir Zhirinovsky, who led the walkout, said, "We demand a meeting with President Medvedev." Also, head of the Communist Party, Gennady Zyuganov, said his members would boycott the Duma until they were granted a meeting with the President. The Communists said they were also considering a Supreme Court appeal. "What's the point in having a legal system and laws if they only suit one party?"Vadim Solovyov, a Communist Party MP said. "Putin's system of government makes no sense and it simply doesn't work." Solovyov also said Russia's political situation had "fallen to a new low". At least during the Yeltsin era we kept some Soviet systems that worked. But with Putin, it's pointless and Russia's the worst it has been", he said.

Mr Putin dismissed the protests, saying: "Those who don't win are never happy." Russia's Central Election Commission chief Vladimir Churov, commenting on the surprise walkout, only said: "No comment. It is just politics." Churov has already called complaints about the elections as "improper hysteria."
 
Matokeo ni kwamba imeanza kula kwa Chadema.

Hata Mhe Mbowe anaonekana kulainika ili kukwepa lawama za kusababisha wabunge wake kupigwa stop bungeni.

JK na Serikali yake watambuliwe ili yaishe. Tunamaliza muda mwiingi kulumbana kwa mambo ambayo hayana tija.
Wananchi watatupa kura tena kweli kwa vitendo hivi vya kihuni?

Tumejimaliza wenyewe, sasa tunachekwa na kila mtu ndani na nje ya nchi. What a shame!

Tumejimaliza wenyewe??? Nani wenyewe, kwani wewe ni CHADEMA?? Mimi nafikiri CHADEMA imejijengea msingi imara mbele ya wapiga kura wake. Wapiga kura wanataka kura zao zimebaki kama walivyopiga, no one should change their decision. Wabunge wa CHADEMA wamewawakilisha vizuri kabisa wapiga kura wake kwa kudai haki kwa niaba yao. Mimi kwanza sikuwa mwanachama wa chama chochote lakini baada ya CHADEMA kuonyesha msimamo imara sasa nitaenda kununua kadi ya CHADEMA na kushawishi watu wengine pamoja na wewe kujiunga na CHADEMA ili kutetea haki za wananchi Tanzania.
 
Mnamkumbuka yule congressman wa South Carolina aliemwuumbua Obama na kumwambia " You Lieeeee!!" wakati Obama akiwa anahutubia Congress last year? Sasa jipya hapa liko wapi? Angalau Chadema wameonyesha respect, next time Mbowe anatakiwa amfokee JK " You lie!"
Badilikeni wadanganyika! Welcome to the real politics and democracy!! ha ha ha
 
Tunajua huku ni kuchanganyikiwa kwa wanachadema. Mlifikiri kupata urais ni kama kuchukua demu wa mtu? Shame on you all.
Watu wenyewe njaa tupu. Mara waingie mara watoke kwani hawataki kukosa allowances.
Kuweni kama wenzenu cuf waligoma kuingia bungeni miaka 3 bila kujali kama wanakosa ruzuku mpaka rais alipowaita wakakutana na kufanya majadiliano. Sasa nyinyi njaa zinawasumbua, halafu pia mmegawanyika kwani watu kama zitto na shibuda hawaungi mkono na wameweka wazi in public. Lakini pia nyinyi ni wachache sana tu watu kutoka majimbo 23 out of 239 is equal to almost nothing, kaifilieni mbali huko na vielement vyenu hivyo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom