KUTOKA BUNGENI: Hotuba ya Lema yazuiliwa kusomwa mpaka Kamati ya kanuni iipitie

Na katika makubaliano ni kuwa ni marufuku bunge la muungano kujadili chochote kisicho cha muungano kinachohusu Zanzibar bila kuridhiwa na baraza la wawakilishi la Zanzibar kwanza.

Uchaguzi wa Zanzibar bunge la MUUNGANO HALINA UWEZO WA KIKATIBA NA KISHERIA KULIJADILI
Umesema ni katika makubaliano au ni sheria na katiba? Hueleweki.


Hotuba yake imekiuka vitu vingi mfano

1.Swala la uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano.Bunge halina haki kujadili jambo ambalo la si la muungano.Jambo la Zanzibar haliwezi jadiliwa hadi liletwe na baraza la wawakilishi.
kwa mujibu wa kanuni gani labda? Au sheria gani?
 
Hotuba yake imekiuka vitu vingi mfano

1.Swala la uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano.Bunge halina haki kujadili jambo ambalo la si la muungano.Jambo la Zanzibar haliwezi jadiliwa hadi liletwe na baraza la wawakilishi.

2.Maswala mengine tume za bunge zinayafanyia kazi kama ya Lugumi yeye keshaamua kuyashobokea wakati tume haijatoa taarifa.

3.Hotuba yake imejaa mambo yasiyo na ushahidi kajaza taarifa za mitandaoni na magazetini za kuokoteza.

4.Anazungumzia vitu visivyotambulika bungeni kwani haviko kisheria.Mfano kaongelea ushirika wa UKAWA.UKAWA ni umoja hewa usiotambulika kisheria popote iwe bungeni au nje ya bunge
kwa nini wasikubali visomwe Bungeni alafu wavipinge kwa mantiki na ufafanuzi wa kina? kuna kitu kinafichwa hapo
 
Akiachiwa abwabwaje kwanza anapoteza muda pili wanalipwa kwa kuwemo bungeni kwa kodi zetu kila siku .Anakuwa anapoteza muda na pesa zetu za kodi bure kwa kuongelea vitu visivyo na kichwa wala miguu.
Serikali inaelewa ilichokuwa inakihofu katika hotuba hiyo ya Lema ndiyo maana ikapiga stop. Hivi kusema wameuza nyumba za serikali ni dhambi wakati watendaji katika kipindi hicho walitekeleza azma yao mchana kweupeee. Hivi maana ya upinzani ni kuisifia serikali au kuikosoa? na kazi ya bunge ni nini?
 
Hotuba yake imekiuka vitu vingi mfano

1.Swala la uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano.Bunge halina haki kujadili jambo ambalo la si la muungano.Jambo la Zanzibar haliwezi jadiliwa hadi liletwe na baraza la wawakilishi.

2.Maswala mengine tume za bunge zinayafanyia kazi kama ya Lugumi yeye keshaamua kuyashobokea wakati tume haijatoa taarifa.

3.Hotuba yake imejaa mambo yasiyo na ushahidi kajaza taarifa za mitandaoni na magazetini za kuokoteza.

4.Anazungumzia vitu visivyotambulika bungeni kwani haviko kisheria.Mfano kaongelea ushirika wa UKAWA.UKAWA ni umoja hewa usiotambulika kisheria popote iwe bungeni au nje ya bunge
Hotuba yake imekiuka vitu vingi mfano

1.Swala la uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano.Bunge halina haki kujadili jambo ambalo la si la muungano.Jambo la Zanzibar haliwezi jadiliwa hadi liletwe na baraza la wawakilishi.

2.Maswala mengine tume za bunge zinayafanyia kazi kama ya Lugumi yeye keshaamua kuyashobokea wakati tume haijatoa taarifa.

3.Hotuba yake imejaa mambo yasiyo na ushahidi kajaza taarifa za mitandaoni na magazetini za kuokoteza.

4.Anazungumzia vitu visivyotambulika bungeni kwani haviko kisheria.Mfano kaongelea ushirika wa UKAWA.UKAWA ni umoja hewa usiotambulika kisheria popote iwe bungeni au nje ya bunge
Hotuba yake imekiuka vitu vingi mfano

1.Swala la uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano.Bunge halina haki kujadili jambo ambalo la si la muungano.Jambo la Zanzibar haliwezi jadiliwa hadi liletwe na baraza la wawakilishi.

2.Maswala mengine tume za bunge zinayafanyia kazi kama ya Lugumi yeye keshaamua kuyashobokea wakati tume haijatoa taarifa.

3.Hotuba yake imejaa mambo yasiyo na ushahidi kajaza taarifa za mitandaoni na magazetini za kuokoteza.

4.Anazungumzia vitu visivyotambulika bungeni kwani haviko kisheria.Mfano kaongelea ushirika wa UKAWA.UKAWA ni umoja hewa usiotambulika kisheria popote iwe bungeni au nje ya bunge
 
Ukishaamua kuwa kada wa chama lazima upate hayo mateso ya kutetea giza.


Wakati mwingine mtu anakuwa mwongo hadi akikuambia "USIKU MWEMA",unalazimika kutoka nje kuhakiki kama kweli giza limeingia.
 
Wimbo Ulio Bora 8: 7 Maji mengi hayawezi kuuzimisha upepo, wala mito haiwezi kuuzamisha; kama mtu angetoa badala ya upepo Mali yote ya nyumbani mwake, Angedharauliwa kabisa"

Kama kunamtu anajaribu kuficha kitu watu {wananchi} anatafuta kudharauliwa! mbisho wa mambo yote haya ni aibu! utaficha jambo kwa muda lakini baada ya siku litakuwa wazi.
 
Hotuba yake imekiuka vitu vingi mfano

1.Swala la uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano.Bunge halina haki kujadili jambo ambalo la si la muungano.Jambo la Zanzibar haliwezi jadiliwa hadi liletwe na baraza la wawakilishi.

2.Maswala mengine tume za bunge zinayafanyia kazi kama ya Lugumi yeye keshaamua kuyashobokea wakati tume haijatoa taarifa.

3.Hotuba yake imejaa mambo yasiyo na ushahidi kajaza taarifa za mitandaoni na magazetini za kuokoteza.

4.Anazungumzia vitu visivyotambulika bungeni kwani haviko kisheria.Mfano kaongelea ushirika wa UKAWA.UKAWA ni umoja hewa usiotambulika kisheria popote iwe bungeni au nje ya bunge
KAMA BUNGE LA MUUNGANO HALINA HAKI WABUNGE KUTOKA ZANZIBAR WANAOKUJA BUNGE LA MUUNGANO WANAKUJA KUFANYA KAZI GANI?
 
Back
Top Bottom