Waziri wa fedha ameshindwa kuyafutia makampuni ya mafuta ushuru kwa kigezo cha kwamba mkataba unawabana, lakini nionavyo mimi ni kulinda maslahi yao, kwani kiukweli wao ndio wamiliki wa hayo makampuni, na kama sio mojakwa moja, lakini kwa kupitia mafisadi wenzao.
Pili hilo jambo linakwenda kinyume na fair trading kwani atakayewekeza sasa hatapata hiyo misamaha ya kodi
Pili hilo jambo linakwenda kinyume na fair trading kwani atakayewekeza sasa hatapata hiyo misamaha ya kodi