Dudu baya anatofauti na Marehemu Ruge Mutahaba, lakini serikali na wana ccm wameufanya ni msiba wa chama chao na serikali hiyohiyo ya ccm nayo imeufanya msiba ni wao.
Marehemu alikuwa b binadamu na alikosea na aliwakosea baadhi ya watu, na,watu hao wanayo haki kutokumpenda. Kama mlivyompenda ninyi wapo waliomchukia na wanamchukia hadi kesho.
Yani mkipendacho nyie mnataka kila mtu akipende?! Eti kwasababu rais alitweet masikitiko basi woote tufuate nyayo zake?! Mimi sidhani kama nisahihi. Rais abaki na maoni yake nasisi wananchi tuachwe na maoni yetu hata kama hamuyapendi?
Nakumbuka Lady JD pia amewahi kushitakiana na Ruge au clouds akikataa nyimbo zake kupigwa na stesheni hiyo bure. Ladyjd aliwahi kusema cliuds waimbe nyimbo zao waache kutumia wasanii na sanaa zao kujinufaisha.
Leo Dudubaya analaumiwa mlitaka naye asifu?! Sasa mlitaka akae kimya?! Wapo waliokaa kimya lakini haimaanishi wanampenda mnayempenda. Tujifunze kuvumiliana., Dudubaya ASAMEHEWE. Mmesha muhukumu kwa kumsema ni mjinga, kachanganyikiwa sasa mnashindwa nini kumsamehe?!
Povu lina ruhusiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Marehemu alikuwa b binadamu na alikosea na aliwakosea baadhi ya watu, na,watu hao wanayo haki kutokumpenda. Kama mlivyompenda ninyi wapo waliomchukia na wanamchukia hadi kesho.
Yani mkipendacho nyie mnataka kila mtu akipende?! Eti kwasababu rais alitweet masikitiko basi woote tufuate nyayo zake?! Mimi sidhani kama nisahihi. Rais abaki na maoni yake nasisi wananchi tuachwe na maoni yetu hata kama hamuyapendi?
Nakumbuka Lady JD pia amewahi kushitakiana na Ruge au clouds akikataa nyimbo zake kupigwa na stesheni hiyo bure. Ladyjd aliwahi kusema cliuds waimbe nyimbo zao waache kutumia wasanii na sanaa zao kujinufaisha.
Leo Dudubaya analaumiwa mlitaka naye asifu?! Sasa mlitaka akae kimya?! Wapo waliokaa kimya lakini haimaanishi wanampenda mnayempenda. Tujifunze kuvumiliana., Dudubaya ASAMEHEWE. Mmesha muhukumu kwa kumsema ni mjinga, kachanganyikiwa sasa mnashindwa nini kumsamehe?!
Povu lina ruhusiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app