AU ingeli act kama ECOWAS, nadhani Africa dictators wangelikuwa wameishaInatosha Mkuu jibu langu lingekuwa sawa kabisa na lako. Sioni umuhimu wa kuwepo AU kusema kweli kwani hawa ndiyo wanaokumbatia madikteta Afrika.
AU ingeli act kama ECOWAS, nadhani Africa dictators wangelikuwa wameishaInatosha Mkuu jibu langu lingekuwa sawa kabisa na lako. Sioni umuhimu wa kuwepo AU kusema kweli kwani hawa ndiyo wanaokumbatia madikteta Afrika.
We unaumwa eeh , kibaraka iwe CHAUMMA !? ebu pima Vizuri andiko lako .Labda hufatilii Vizuri Siasa za Tanzania
mimi ameniambia eti naumwa, sasa sijui na wewe unaumwa? yaani angalia comments, wote kweli tunaumwa CHAUMMA TanzaniaMAPANDIKIZI katika ubora wenu, hatudanganyiki mkatafute mbinu nyingine.
Haina haja ya kukemea.Sera yao ni lishe bora kwa kila Mtanzania,lishe inaleta afya ya akili,Watanzania asilimia 90% wakipata lishe bora kuanzia mashuleni mpaka vyuoni CCM itatoka yenyewe.Siumwi! Wapinzani wa kweli ni CDM na ACT! Hamjawahi kukemea UOVU wa CCM hata mara moja, sana sana ni kupongeza mauaji, utekaji, uporaji wa demokrasia etc etc etc! Wengine nyote ni matawi ya CCM! Salary Slip naomba umweleweshe huyu jamaa yetu kuwa walio na akili wanawaelewa hivyo!
CHAUMA ni chama bora kabisa kuliko wahuni wa saccos Chadema.
Yani nchi inaonekana chama cha upinzani ni chadema tu ila vyama vilivyobaki vyote ni vinaitwa ni vibaraka wa ccm.Nyinyi si ni vibaraka wa CCM, hiyo ni danganya toto ionekane na vyama vingine imegomewa na si CDM na ACT peke yao.