Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,141
- 13,215
aghalabu misimu ya sikukuu kama hiz makundi mbalimbali ya watu hujitokeza kusaidia hususan vituo vya watoto yatima, ni jambo jema lakn inaonekana ni kama sehemu ya kujitangaza hivi na mtu haridhiki kutoa hadi aite media au ku-post kwenye social media picha za tukio etc
maoni yangu
maoni yangu
- Kutoa ni moyo usambe ni utajiri
- maandiko yanasema utoapo mkono wa kulia hata wa kushoto usijue
- ......................wewe unasemaje katika hili?