papaa musofe
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 842
- 1,475
Wiki hii JPM atatunuku nishani wanajeshi katika uwanja wa sheikh Amri Abeid
Tangu JPM aukwae uongozi amekuwa akiikwepa Monduli kama ukoma
Tunajua Monduli kuna kambi kubwa ya jeshi na maafisa wote, kikawaida walikuwa wanapewa nishani huko
Lakini sasa wanajeshi wanapewa nishani si kwenye kambi za jeshi bali hata kwenye Viwanja vya Mpira
Hivi JPM anamuhofia EL kiasi hiki? Sasa naamini kwamba EL ana nguvu ya kipekee
Lakini nishani hizi zinatolewa katika kambi ya jeshi,huko nako bado tu anahofia kivuli cha mmasai huyu?
Tangu JPM aukwae uongozi amekuwa akiikwepa Monduli kama ukoma
Tunajua Monduli kuna kambi kubwa ya jeshi na maafisa wote, kikawaida walikuwa wanapewa nishani huko
Lakini sasa wanajeshi wanapewa nishani si kwenye kambi za jeshi bali hata kwenye Viwanja vya Mpira
Hivi JPM anamuhofia EL kiasi hiki? Sasa naamini kwamba EL ana nguvu ya kipekee
Lakini nishani hizi zinatolewa katika kambi ya jeshi,huko nako bado tu anahofia kivuli cha mmasai huyu?